- Thread starter
- #21
Safi Sana! Tutaangalia madhara ya chanjo kwa majirani zetu hawa!! Baada ya miaka miwili kama hawajapata dhara lolote na sisi ndipo tutakapofikiria kuagiza chanjo!!
Hayupo ajuaye unapokuwa mbinguni uelekeo wa kuangalia huwa upi na hata kama huwa unaendelea kuangalia tena duniani bado.
Hivyo usijipe sana moyo kuwa una wa kuangalia au vipi jombi?