Kwani mimi nafanyanya kazi ya kuthibitisha accounts za watu, Mkuu vipi?
Kashtaki sasa..Ni kweri huthibitishi accounts za watu ila wewe unaokota okota utopolo wowote na kuusambaza bila ya kuwa na uhakika wowote?
Huoni hiyo ni hatari sana mkuu? Vipi siku utakapokuta account fake yenye taarifa za uongo kukuhusisha wewe mwenyewe mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiiiiii kweli kazi yako si kuthibitisha account za watu bila shaka utatuambia wamesema ati kumbe wewe ni mtoto wa punda.
Kashtaki sasa..
Unajifanya mjuaji huna lolote.. Endelea na mambo yako bana, tusisumbuane mimi huwa sibishani hovyo, kingine mimi sio mfuasi mwenzio wa Lumumba FC...Kuna hata haja kushitaki basi?
Habari za kuokoteza kuhalalisha ushamba ushamba mbona hata mwenyekiti mpya wa chama mboga mboga hazitaki tena.
Haya:
View attachment 1745608
yalikuwa zama zile.
Unajifanya mjuaji huna lolote.. Endelea na mambo yako bana, tusisumbuane mimi huwa sibishani hovyo, kingine mimi sio mfuasi mwenzio wa Lumumba FC...
Mkuu mbona una kiherehere sana cha kuni quote kunijibu kwa mihemko yako tu? Em fuatilia hata replies zangu uone kama mimi nlkua kikundi chenu cha mtukufu wenu huko Lumumba, wakuu huyu msela niaje [emoji23]...Wewe mwenye lolote ndiye mjuaji?
Kweli nyani kuona kundule ni hadi anunue kioo! Kweri kabisa wewe huwa hubishani hovyo.
Inafahamika zama mpya hizi. Wengi kabisa wameikana timu yetu.
Hiiiiii bagosha!
Mkuu mbona una kiherehere sana cha kuni quote kunijibu kwa mihemko yako tu? Em fuatilia hata replies zangu uone kama mimi nlkua kikundi chenu cha mtukufu wenu huko Lumumba, wakuu huyu msela niaje [emoji23]...
Saa zingine piga hata nyeto kuondoka mihemko yako...
Vipi yeye amechanja mkuu?