Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Corona: Tanzania kuzuia chakula na bidhaa zingine kupelekwa Kenya

Pound ya UK ipo juu kuliko Dollar ya US vp kuhusu uchumi nani yupo juu kiuchumi? Fanya research before you write.
Rais ameshasema shilingi ya Tanzania ina nguvu Saivi na uchumi jana kasema upo vzr mbona unabishha?

CCM MBELE KWA MBELE
 
Unachokiandika ni kipi ndugu?

Kuna namna mbili; kuna asili ya lugha na chimbuko lake. Asili ni jinsi jambo lilivyoanza. Ukisema chimbuko maana yake ni mahali kitu kilipoanzia ama jambo lilipoanzia.

Unachomaanisha wewe ni chimbuko la Kiswahili (ijapokuwa umeandika asili). Kiswahili kimetokana na neno la kiarabu Sahil, ni neno la kiarabu na moja ya maana yake ni pwani. Kumbuka tuna lugha zetu za kibantu na nyinginezo. Ustaarabu katika miji na nchi zetu ulianzia ukanda wa pwani kwa sababu ni ukanda ambao ulikuwa na muingiliano na mataifa ya bara Asia kwa muda mrefu hususan waarabu. Hii lugha ilikuwa inatumika kibiashara ya kimataifa kwenye pwani ya Afrika Mashariki.

Tanzania kuna pwani na ipo Afrika Mashariki. Kenya kuna pwani na ipo Afrika Mashariki. Somalia kuna pwani na ipo Afrika ya Mashariki. Kwa hiyo kanda za pwani hizo zote zilikuwa zikizungumza Kiswahili. Sisi kwa watu wa bara kimeenezwa tu hususani kipindi cha Nyerere. Waulize wazee wetu, Kiswahili kilifanywa ni lazima kuzungumzwa kipindi hicho watu wananzungumza lugha ya makabila ya kwao tu.

Sisi ni jitihada ya kukitumia na kukienzi tukairasimisha rasmi. Lakini mmiliki wa hii mali ya lugha ya Kiswahili ni watu wa ukanda wa pwani ya Afrika Mashariki.
Acha ujinga, wakati kiswahili kinarasmishwa Tanzania kilikuwa tayari kina mizizi yake hususani Unguja na Pemba, kiswahili kilianza kutumika Unguja na Pemba kabla hata hakijaanza kuingia pwani ya Afrika ya mashariki (nazungumzia Mombasa, Kilwa na maeneo mengine ya pwani) hebu niambie Unguja na Pemba viko wapi?
 
Wakati inajulikana mwenye lugha ya kingereza ni UK ingawa mmarekani amejifanya kuikumbatia Kama yake kumbe mtumwa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Msome basi hata Prof. Massamba wa Udsm kwenye kitabu chake cha historia ya Lugha ya Kiswahili na chimbuko lake ni wapi?

Kiswahili kimeanzia ukanda wa pwani wa Afrika Mashariki. Tusifikirie kidhana kuwa kwa vile wa Tz tunazungumza na kuandika Kiswahili nchi yote basi hii lugha chimbuko lake ni sisi.

Kuna lahaja mpaka za Kitumbatu. Kinapatikana kasikazini magharibi mwa kisiwa cha Unguja. Ni kisiwa cha tatu kwa ukubwa kwa kinachounda nchi ya Zanzibar.
 
Watanzania wanashabikia mambo ya kijinga sana. Wanadhani hatua za mapambano ya Corona kule Kenya zimelenga watanzania na Tanzania, wanasahau kabisa hata huko Kenya kuna miji imefungwa kabisa, raia wa Kenya huwezi kuingia wala kutoka, na kuna wakenya wengi hilo linawaumiza.

Sasa itakuwaje kwa mgeni unayetoka kwenye nchi yenye maambukizi ya holela kama Tz uingie tu Kenya bila kuwekewa vikwazo?
sawa kabisa,suluhisho lishapatikana kila mtu abaki kwao ili tusiambukizane.
kama ni chakula kenya wakanunue kwengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msome basi hata Prof. Massamba wa Udsm kwenye kitabu chake cha historia ya Lugha ya Kiswahili na chimbuko lake ni wapi?

Kiswahili kimeanzia ukanda wa pwani wa Afrika Mashariki. Tusifikirie kidhana kuwa kwa vile wa Tz tunazungumza na kuandika Kiswahili nchi yote basi hii lugha chimbuko lake ni sisi.

Kuna lahaja mpaka za Kitumbatu. Kinapatikana kasikazini magharibi mwa kisiwa cha Unguja. Ni kisiwa cha tatu kwa ukubwa kwa kinachounda nchi ya Zanzibar.
Unguja iko wapi vileee[emoji3][emoji3]
 
Acha ujinga, wakati kiswahili kinarasmishwa Tanzania kilikuwa tayari kina mizizi yake hususani Unguja na Pemba, kiswahili kilianza kutumika Unguja na Pemba kabla hata hakijaanza kuingia pwani ya Afrika ya mashariki (nazungumzia Mombasa, Kilwa na maeneo mengine ya pwani) hebu niambie Unguja na Pemba viko wapi?
Sawa! Tupe uthibitisho!
 
Yen ya Japan sawa na sh ya kenya kwahiyo uchumi wa Japani sawasawa na Kenya kwa mujibu wa data zake za kiuchumi huyo mbumbumbu
Uchumi wa Zambia ni mkubwa kuliko ule wa Kenya, 1Zambian Kwacha = 6 Kenyan Shillings.

Uchumi wa Rwanda ni mkubwa kuliko wa Tanzania

1 RWf = 2.5 Tsh.

Rudi shule ukasome uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada, vipi kuhusu mpango huu wa 'kuzuia'. Tupe update tafadhali.
 
Mjadala nimeufuatilia kwa kadri ya nilivyoweza kwa kusoma kurasa kwa kurasa. Unachozungumza (Andika) ni kipi?

Hakuna mahali nilipoandika Mkenya ni mbora zaidi ya sisi! Hakuna mahala nilipoandika kuna mataifa nayaona ni sahihi! Nilichokiandika ni jitihada waliyoifanya dhidi ya huu ugonjwa wa mlipuko. Nilichokiandika ni kuhusu yaliyomo kwenye tanbihi ya muanzisha Uzi. Ijapokuwa kama ulivyoandika kwa muktadha wako na nauheshimu.

Uliyonikadiria sipo nayo! Na hisiya ama falsafa unayokwenda nayo ni tofauti na ya kwangu. Sipo kwenye usisi! Ubinafsi na majivuno kwangu ni dhambi, na ninachofungamana nacho ni mustakabali wenye tija kwa jamii na uliyo ubeba utu na ubinadamu.

Tupo sayari tofauti.
Kwanini sisi TZ hatujafanya jitihada hizo??!!duh?
 
Uchumi wa Zambia ni mkubwa kuliko ule wa Kenya, 1Zambian Kwacha = 6 Kenyan Shillings.

Uchumi wa Rwanda ni mkubwa kuliko wa Tanzania

1 RWf = 2.5 Tsh.

Rudi shule ukasome uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh tunao wachumi wengi kwelikweli...uchumi wa Zambia ni mkubwa kuliko wa Kenya kwa kuwa eti 1 kwacha is equal to 6 Kenyan Shilings
 
Sio joto la jiwe mpuuzi mwenzio ndio aliokuja na hiyo hoja ndio katolea hizo data kwahiyo uchumi wa Zambia mkubwa kuliko wa Kenya na uchumi wa Burundi mkubwa kuliko wa Tanzania ukirudi nyuma zaidi Mimi nilimuuliza kwahiyo uchumi wa Kenya upo sawa na wa Japan?, Maana mbumbumbu wengi wa Kenya wanajua uchumi mkubwa pesa ikiwa na dhamani kubwa Kwenye viwango vya kubadilisha ndio yenye uchumi mkubwa
Duh tunao wachumi wengi kwelikweli...uchumi wa Zambia ni mkubwa kuliko wa Kenya kwa kuwa eti 1 kwacha is equal to 6 Kenyan Shilings

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio joto la jiwe mpuuzi mwenzio ndio aliokuja na hiyo hoja ndio katolea hizo data kwahiyo uchumi wa Zambia mkubwa kuliko wa Kenya na uchumi wa Burundi mkubwa kuliko wa Tanzania ukirudi nyuma zaidi Mimi nilimuuliza kwahiyo uchumi wa Kenya upo sawa na wa Japan?, Maana mbumbumbu wengi wa Kenya wanajua uchumi mkubwa pesa ikiwa na dhamani kubwa Kwenye viwango vya kubadilisha ndio yenye uchumi mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
'mpuuzi mwenzio'.....noted
 
Hakuna foreign currency Kenya acha umbulula eti foreign exchange.

Hivi pesa ya Kenya tunaeza ichukua Marekani kuinunulia Boeing? Hujui hata maana ya foreign currency fundamentals

Nacheka sana. Nikija TZ mara nyingi hupewa migunia ya pesa hali nikitoka kenya nimekuja na senti chache kwenye waleti. Jiheshimu. Furahia foreign currency 😂😂
 
Back
Top Bottom