Corona Tanzania ni vita kati ya Mungu na wasiomwamini kuwa aweza shinda Corona Mungu atashinda hajawahi shindwa
Wasiomwamini wanachekelea wakisikia tetesi kuwa kuna Corona wanahoji Mungu kuwa nyie mliojitia kuomba kiko wapi ? Shetani mleta Corona kamshinda Mungu huyo Mungu wenu bure kabisa!!!
Hii vita Mungu wa Tanzania ataibuka mshindi tena kwa knock out
Wazungu wajiandae kutushangaa Watanzania kwa ushindi mnono awamu hii tena
Tanzania kwa sasa ndio taifa teule limeibwaga Maka na Medina na Vatican na Israel kwenye vita dhidi ya Corona kwa kumtumia Mungu yaani using God factor on war against Corona a weapon that other countries have rejected
Acha ujinga,Kama Mungu ndivyo anavyotumika kutatua matatizo ya watu,unaonaje tumtumie hivyo kutatua vifo vya watoto kwa malaria,umaskini,ukosefu wa ajira,kwanini tunajenga zahanati,hospitari,tunasomesha madakitari,si tupige dua tu,Mungu atafsnya miujiza?!
Watoto wadogo wakizaliwa,wanapewa chanjo za polio,korona hatutaki chanjo,tunataka Mungu aponye kimiujiza,sasa tusipereke watoto kupewa chanjo,tuombe Mungu tu!!
"Usiende kwa Mungu. Kuomba furniture,Mungu ameishatengeneza Miti,kazi ya kutengeneza furniture ni kazi ya Mwanadamu.
Hizi akili za kijinga za kilikole,zinapotosha sana,
Hazitofautiani na ile familia inayoamini mtu akiiugua malaria asiende hospitari,apige maombi tu,Kuna washenzi wengine walipiga kambi airport wakitaka kwenda ulaya bila kufata taratibu,wakiamini imeandikwa wataenda duniani kote kutangaza injili.
Sent from my TECNO CD6 using
JamiiForums mobile app