Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,633
Hatamimi leo nimeota kitu kama hichoUsiku wa kuamkia leo nimeota nimeugua Corona acha watu wawe wananikimbia nikakumbuka ile video ilivuma sana ya "Ebolaaaa, ebolaaaa" [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app