Corona: Tanzania yaingilia kati, madaktari wake wajitolea kwenda China kuidhibiti

Corona: Tanzania yaingilia kati, madaktari wake wajitolea kwenda China kuidhibiti

Usiku wa kuamkia leo nimeota nimeugua Corona acha watu wawe wananikimbia nikakumbuka ile video ilivuma sana ya "Ebolaaaa, ebolaaaa" 😂😂
Jana usiku kichwa kimeniuma sana mwili unachemka koo linawasha na mafua ya hapa na pale chafya za kufa mtu asee nilikosa amani kinyama nikawa nawaza Corona hii tayari,nikajidunga bapa kadhaa leo mwepesiiii hakuna cha mafua wala upuuzi gani😂😂😂
 
Mimi nasikia sikia tu ata sijaelewa vizuri

Kuna mtu anaitwa mfalme JIWE ndo kiongozi wa mbio za watoa sadaka

Sent using UBUNTU 18LTS
 
Charity start at home!! Huku Lingusenguse hakuna Doctor hata mmoja tuna Med.Asst.tu ,please njooni kwanza huku,kueni kwenye border post hasa za aple namanga,tunduma, na nilitegemea watanzania hasa walioko kwenye lile jimbo la Wuhan watarudishwa nyumbani na kuwekwa chini ya uangalizi maalum for 21days kabla ya ku apply mind ya kuwaachia, na sijasikia kama tumeshaandaa isolations centres ndani ya nchi yetu kwa ajili ya kukabiliana na swala hii, kwangu mimi hii habari iliyochukua nafasi ya kwanza kwenye gazeti hili pendwa (!!!!) ni siasa zaidi kuliko reality.
Hongera kwa kuwa na medical assistant sisi tuna auxiliary nurse
 
Hongera kwa kuwa na medical assistant sisi tuna auxiliary nurse
poleni mno ,halafu nchi inatangaza kupeleka Doctors China!!!,nchi yetu hata maandalizi ya kujilinda na ugonjwa huu ni siasa tupu,wapi wameandaa holding places kwa wagonjwa au wenye dalili hizo ?
 
poleni mno ,halafu nchi inatangaza kupeleka Doctors China!!!,nchi yetu hata maandalizi ya kujilinda na ugonjwa huu ni siasa tupu,wapi wameandaa holding places kwa wagonjwa au wenye dalili hizo ?
Kutoa ni moyo
 
poleni mno ,halafu nchi inatangaza kupeleka Doctors China!!!,nchi yetu hata maandalizi ya kujilinda na ugonjwa huu ni siasa tupu,wapi wameandaa holding places kwa wagonjwa au wenye dalili hizo ?
Pia wataalamu kupata vifaa vya kuwakinga wao na wagonjwa wao mlipuko ukitokea
 
Naomba kujua kama kuna mwenye feedback ya offer hiyo ya ajira ya madakitari ya Rais Mtukufu Magufuli imetekelezwa kwa kiwango gani? Utaratibu upi umewekwa wa wanufaika kujaribu bahati zao au ni TECHNICAL KNOW WHO!
 
Back
Top Bottom