Corona: Tanzania yaingilia kati, madaktari wake wajitolea kwenda China kuidhibiti

Usiku wa kuamkia leo nimeota nimeugua Corona acha watu wawe wananikimbia nikakumbuka ile video ilivuma sana ya "Ebolaaaa, ebolaaaa" 😂😂
Jana usiku kichwa kimeniuma sana mwili unachemka koo linawasha na mafua ya hapa na pale chafya za kufa mtu asee nilikosa amani kinyama nikawa nawaza Corona hii tayari,nikajidunga bapa kadhaa leo mwepesiiii hakuna cha mafua wala upuuzi gani😂😂😂
 
Mimi nasikia sikia tu ata sijaelewa vizuri

Kuna mtu anaitwa mfalme JIWE ndo kiongozi wa mbio za watoa sadaka

Sent using UBUNTU 18LTS
 
Hongera kwa kuwa na medical assistant sisi tuna auxiliary nurse
 
Hongera kwa kuwa na medical assistant sisi tuna auxiliary nurse
poleni mno ,halafu nchi inatangaza kupeleka Doctors China!!!,nchi yetu hata maandalizi ya kujilinda na ugonjwa huu ni siasa tupu,wapi wameandaa holding places kwa wagonjwa au wenye dalili hizo ?
 
poleni mno ,halafu nchi inatangaza kupeleka Doctors China!!!,nchi yetu hata maandalizi ya kujilinda na ugonjwa huu ni siasa tupu,wapi wameandaa holding places kwa wagonjwa au wenye dalili hizo ?
Kutoa ni moyo
 
poleni mno ,halafu nchi inatangaza kupeleka Doctors China!!!,nchi yetu hata maandalizi ya kujilinda na ugonjwa huu ni siasa tupu,wapi wameandaa holding places kwa wagonjwa au wenye dalili hizo ?
Pia wataalamu kupata vifaa vya kuwakinga wao na wagonjwa wao mlipuko ukitokea
 
Naomba kujua kama kuna mwenye feedback ya offer hiyo ya ajira ya madakitari ya Rais Mtukufu Magufuli imetekelezwa kwa kiwango gani? Utaratibu upi umewekwa wa wanufaika kujaribu bahati zao au ni TECHNICAL KNOW WHO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…