Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kuna maisha mengine mbali na Corona, kemea hilo pepo linalokusumbua la kukaa unaiwazia Corona bado hujachelewa. Tatizo la ugonjwa ulio nao wa obsession usipoliwahi utakuwa unalala unaiota Corona. Hujishangai jumatatu mpaka jumapili tangu March 2020 threads zako ni Corona tu!???... Unadhani utabadilisha chochote!?.. we ni mjinga usiyejijua kuwa ni mjinga kwahiyo upo mbali sana na kuwa mwelevu siku za karibuni. Endelea na story za COVID Kama unadhani zitakusaidia lolote wewe kama wewe maishani.Huna jibu wala ufanunuzi wowote kwenye hoja yoyote ile katika zilizopo bali utopolo mtupu uliopitiliza:
View attachment 1718643
Kwamba tukae makwetu hadi 2030? Ila kodi mje kuchukua? Na wale waliokabidhiwa miradi hawatakiwi kusema Corona iliwaathiri?
Akili hizi za Lumumba na yule kinara wenu anazo hizi hizi?
Hizi ni akili kweli au matope?
Wewe achana na story za CORONA hazikuongezei kitu, unazeeka ukiiwaza Corona huna hata kademu kakuondolee mawazo ya Corona????... Unaonekana upo obsessed sana na Covid, Kuna maisha mengine mbali na Corona. Huwa najiuliza watu Kama nyie kabla ya Corona kuanza vichwa vyenu vilijaa makamasi gani mengine!????
Mkuu nipo serious mkuu. Unakaribia kuokota makopo kwasababu ya Corona, kuna maisha mengine zaidi ya Corona. Hebu jipe dakika 5 za kujiuliza ulianzaje kuwa obsessed na Covid!???.. au wife alikufa kwa Corona nini tangu mwaka jana mwezi wa 3??!??... Kuna kitu kichwani mwako hakipo sawa, huwezi kuwa unaiwazia Corona kila siku karibu mwaka 1 Sasa. Ikibidi kamuone daktari. Nipo serious mkuu.Kwa hiyo nyie wenye videmu mlioondolewa mawazo ya Corona ndiyo hawa hapa?
View attachment 1718659
Kweri nyie vichwa vyenu vimejaa makamasi ya kudumu ndiyo maana mmeng'ang'ana kijuha juha eti "Corona ni vita vya uchumi dhidi ya Tanzania."
Kwa lipi mburula wewe?
Nyambafu!
Mkuu nipo serious mkuu. Unakaribia kuokota makopo kwasababu ya Corona, kuna maisha mengine zaidi ya Corona. Hebu jipe dakika 5 za kujiuliza ulianzaje kuwa obsessed na Covid!???.. au wife alikufa kwa Corona nini tangu mwaka jana mwezi wa 3??!??... Kuna kitu kichwani mwako hakipo sawa, huwezi kuwa unaiwazia Corona kila siku karibu mwaka 1 Sasa. Ikibidi kamuone daktari. Nipo serious mkuu.
Naingia gym kidogo ngoja waliokuelewa waje
Haya maisha ya ajabu sana yuleyule aliesema watanzania sio wajinga ndio huyohuyo anatufanya watanzania wajinga.
Mkuu hakuna sehemu wala mahali popote niliposema huu ugonjwa haupo, wala kupinga lolote uliloorodhesha hapo namba 1 hadi 7 hapo juu. Corona ipo na inaua. Tatizo langu ni namna lilivyokuletea uchizi kama vile wewe ndo muanzilishi wa Corona duniani. Kuwa serious kidogo utanielewa mkuu, wala usikasirike najaribu kukusaidia. Kwa mfano Leo ni weekend watu wapo bize hata wamepumzika, hata walio JF waanzisha threads masaa yote Kama wewe Wana ishu tofauti za kujadili. Ila wewe jumatatu mpaka jumapili unaiwaza Corona huoni kama kuna nati imelegea kichwani!??.. ukijitafakari kidogo utanielewa. Kama upo Dar pita mtaani kwako uone kwamba maisha mtaani yanaendelea kama kawaida. Huwa nahisi umejifungia chumbani umebandika kwenye kuta zako picha za kirusi cha Corona ndo unakaa unawaza Corona. Jipe muda hata wa kumtafuta demu wako Kama yupo au bwana wako Kama wewe ni she. Kukaa unaiwaza Corona masaa 24 sio dalili nzuri. Kama mnywaji nunua hata bia mbili au konyagi ndogo itakusaidia kuwa na mawazo tofauti mbali na Corona. Corona bado ipo sana wasiwasi wangu usije kuanza kuokota makopo kwasababu ya Corona.Kweli nyani kuona kundule hawezi labda anunuliwe kioo.
Hivi wewe unaona uko sawa?
Kuwa:
1. Huu ugonjwa haupo.
2. Huu ugonjwa hauuwi ila hofu.
3. Huu ugonjwa ni vita vya uchumi dhidi ya Tanzania.
4. Chanjo zinaleta Corona.
5. Chanjo hizi ni upigaji dili wa mabeberu.
6. Chanjo hizi hazifai ila nyungu.
7. Taarifa sahihi kuhusiana na Corona zinaleta taharuki.
8. Nk.
Hivi mna maslahi gani na vifo vya watu kiasi mmejiridhisha kuwa acha wa kufa wajifie kibudu tu?
Hivi hata cha yule balozi au hata cha Che viliwauma kweli?
Kwamba una kereka mno unapoona popote mada yoyote kuhusiana na ugonjwa huu unaoouwa?
Jiangalie mkuu. Omba na wengine wakusaidie kukuangalia. Kuona ku*du lako kama ilivyo kwa manyani haiwezekani.
Ndiyo maana uzi huu kwa makusudi ulielekezwa makusudi kwa waungwana. Hata hilo nalo hukuliona?
I am serious. You must be nut!
MKUU Werevu watamuepuka mpumbavu,na wapumbavu wamfuate mpumbavu mwenzao "To each his own"Ajabu na kweli ni kuwa hata wenye nafasi za kupaza sauti akawasikia nao wameufyata tunatunguka nao mmoja mmoja kimya kimya.
Kwani yule balozi aliwahi hata kupaza sauti. Si walikuwa wote mida yote?
Imekuwa kama wachuma majanga. Kimya kimya wanakula na wa kwao.
Ipo na hii mipimbi kama hili jmc06 yanatamani mno tujikite zaidi kwenye kula yale ma nanihii kimaskhara. Kwamba haya ya Corona tuachane nayo. Wa kufa afe na wa kuishi aishi.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu sema ukweli wako, hakuna ndugu yako wala jamaa yako aliyeanza kukushangaa na kukutahadharisha kuhusu kukaa unaiwazia Corona masaa yote Kama hivi nilivyokutahadharisha!??,sema ukweli wako, ukweli utakuweka huru. Bado nasisitiza najaribu kukusaidia kuondokana na huu ugonjwa(obsession) wa kukaa unaiwazia Corona 24/7.Ajabu na kweli ni kuwa hata wenye nafasi za kupaza sauti akawasikia nao wameufyata tunatunguka nao mmoja mmoja kimya kimya.
Kwani yule balozi aliwahi hata kupaza sauti. Si walikuwa wote mida yote?
Imekuwa kama wachuma majanga. Kimya kimya wanakula na wa kwao.
Ipo na hii mipimbi kama hili jmc06 yanatamani mno tujikite zaidi kwenye kula yale ma nanihii kimaskhara. Kwamba haya ya Corona tuachane nayo. Wa kufa afe na wa kuishi aishi.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Yaani jinsi mnavyoitetea hii corona ni kama vile nyie ndiyo mmeitengeneza! Mara mseme si ugonjwa wa hatari,mara mseme haupo,magu alisema kuwa virus wa corona ni "FUTA" tu,ukijifukiza kwa mvuke wenye nyuzi joto 100 linayeyuka na kutokomea mbali!! Nikahisi labda huyu mtu ameona korona haituui haraka sasa anataka tufe fasta zaidi kwa kujichemsha wenyewe tukiwa hai,yaani mtu akitaja corona mnashikwa na jazba,hasira zinapanda,mnatamani kumuua kabisa,wakati corona yenyewe wala haijui kama ina watetezi kama nyie,inawalia tu timing iwafyekelee mbali kmnyoko.Mkuu Kuna maisha mengine mbali na Corona, kemea hilo pepo linalokusumbua la kukaa unaiwazia Corona bado hujachelewa. Tatizo la ugonjwa ulio nao wa obsession usipoliwahi utakuwa unalala unaiota Corona. Hujishangai jumatatu mpaka jumapili tangu March 2020 threads zako ni Corona tu!???... Unadhani utabadilisha chochote!?.. we ni mjinga usiyejijua kuwa ni mjinga kwahiyo upo mbali sana na kuwa mwelevu siku za karibuni. Endelea na story za COVID Kama unadhani zitakusaidia lolote wewe kama wewe maishani.
Mkuu wala sipo upande huo na sitetei chochote hapa. Huyu jamaa mleta mada tangu March mwaka uliopita amekomaa na Corona, mwanzo mwisho. Kwa siku lazima aanzishe threads zaidi ya 2 kuhusu Corona. Mwaka jana alikomaa kweli watu wawekwe lockdown. Sasa najaribu kumsaidia kama mtanzania mwenzangu kumnusuru maana anaelekea kuwa chizi kuokota makopo kwasababu ya Corona. Weka Siasa pembeni tujaribu kumsaidia huyu mtu anaelekea kuwa chizi na kuokota makopo. Nipo serious mkuu.Yaani jinsi mnavyoitetea hii corona ni kama vile nyie ndiyo mmeitengeneza! Mara mseme si ugonjwa wa hatari,mara mseme haupo,magu alisema kuwa virus wa corona ni "FUTA" tu,ukijifukiza kwa mvuke wenye nyuzi joto 100 linayeyuka na kutokomea mbali!! Nikahisi labda huyu mtu ameona korona haituui haraka sasa anataka tufe fasta zaidi kwa kujichemsha wenyewe tukiwa hai,yaani mtu akitaja corona mnashikwa na jazba,hasira zinapanda,mnatamani kumuua kabisa,wakati corona yenyewe wala haijui kama ina watetezi kama nyie,inawalia tu timing iwafyekelee mbali kmnyoko.
Hata dalili ulizonazo za kumfuatilia mwanamume mume wa mtu tokea mwaka jana mwezi wa tatu hadi leo si dalili nzuri kabisa!!unajua hadi idadi ya post zake hapa jf,hadi maudhui yake,itabidi tukuanzishie tiba asap!Mkuu sema ukweli wako, hakuna ndugu yako wala jamaa yako aliyeanza kukushangaa na kukutahadharisha kuhusu kukaa unaiwazia Corona masaa yote Kama hivi nilivyokutahadharisha!??,sema ukweli wako, ukweli utakuweka huru. Bado nasisitiza najaribu kukusaidia kuondokana na huu ugonjwa(obsession) wa kukaa unaiwazia Corona 24/7.
Real nuts indeed! Huyu jamaa ukisoma makala alizokuwa akiandika kuhusu jaribio la kumuua Lissu utajua hamnazo kabisa. Mawazo ya ajabu anayaandika ameuma meno. Ana roho ya msagasumu au mkaanga sumu. Ni saa mbovu muda wote. Haikosei hata mara moja kusoma majira sahihi.Kweli nyani kuona kundule hawezi labda anunuliwe kioo.
Hivi wewe unaona uko sawa?
Kuwa:
1. Huu ugonjwa haupo.
2. Huu ugonjwa hauuwi ila hofu.
3. Huu ugonjwa ni vita vya uchumi dhidi ya Tanzania.
4. Chanjo zinaleta Corona.
5. Chanjo hizi ni upigaji dili wa mabeberu.
6. Chanjo hizi hazifai ila nyungu.
7. Taarifa sahihi kuhusiana na Corona zinaleta taharuki.
8. Nk.
Hivi mna maslahi gani na vifo vya watu kiasi mmejiridhisha kuwa acha wa kufa wajifie kibudu tu?
Hivi hata cha yule balozi au hata cha Che viliwauma kweli?
Kwamba una kereka mno unapoona popote mada yoyote kuhusiana na ugonjwa huu unaoouwa?
Jiangalie mkuu. Omba na wengine wakusaidie kukuangalia. Kuona ku*du lako kama ilivyo kwa manyani haiwezekani.
Ndiyo maana uzi huu kwa makusudi ulielekezwa makusudi kwa waungwana. Hata hilo nalo hukuliona?
I am serious. You must be nut!
Mkuu hakuna sehemu wala mahali popote niliposema huu ugonjwa haupo, wala kupinga lolote uliloorodhesha hapo namba 1 hadi 7 hapo juu. Corona ipo na inaua. Tatizo langu ni namna lilivyokuletea uchizi kama vile wewe ndo muanzilishi wa Corona duniani. Kuwa serious kidogo utanielewa mkuu, wala usikasirike najaribu kukusaidia. Kwa mfano Leo ni weekend watu wapo bize hata wamepumzika, hata walio JF waanzisha threads masaa yote Kama wewe Wana ishu tofauti za kujadili. Ila wewe jumatatu mpaka jumapili unaiwaza Corona huoni kama kuna nati imelegea kichwani!??.. ukijitafakari kidogo utanielewa. Kama upo Dar pita mtaani kwako uone kwamba maisha mtaani yanaendelea kama kawaida. Huwa nahisi umejifungia chumbani umebandika kwenye kuta zako picha za kirusi cha Corona ndo unakaa unawaza Corona. Jipe muda hata wa kumtafuta demu wako Kama yupo au bwana wako Kama wewe ni she. Kukaa unaiwaza Corona masaa 24 sio dalili nzuri. Kama mnywaji nunua hata bia mbili au konyagi ndogo itakusaidia kuwa na mawazo tofauti mbali na Corona. Corona bado ipo sana wasiwasi wangu usije kuanza kuokota makopo kwasababu ya Corona.
Mkuu sema ukweli wako, hakuna ndugu yako wala jamaa yako aliyeanza kukushangaa na kukutahadharisha kuhusu kukaa unaiwazia Corona masaa yote Kama hivi nilivyokutahadharisha!??,sema ukweli wako, ukweli utakuweka huru. Bado nasisitiza najaribu kukusaidia kuondokana na huu ugonjwa(obsession) wa kukaa unaiwazia Corona 24/7.