Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona vingi mkuu inamaana huvioni??mfano mama lwakatale jana alikuwa mzima kesho yake??mitimingi nkTuambie kifo gan cha gafla kimetokea hapa tz siku za karibuni
acha kasumba za kitoto kifo cha ghafla kinasababu nyingi alafu huwezi jua historia ya kiafya ya mtu unaweza dhani kafa ghafla kumbe alikuwa na tatizo la muda vifo vya ghafla vipo vilikuwepo na vitaendelea kuwepo epuka hofu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dom vifo vya ghafla kila siku.
Mwanaccm haelewagi chochote hadi yamkute you are
Tuendelee kusikiliza maneno ya meko,damu zikitutoka tutaelewa uongo wakeSo tufanyeje?
Ni coronavirus?
Meko anawadanganya,uchumi unaweza ukaujenga tena Ila uhai ukitoka ndo imetoka.Ni akili mbovu za kiwango Cha mwanaccm kuamini mtu asiye na hata shilingi mia mfukoni na sawa na yule aliye mortuary au kaburiniuchumi ndio maisha na ndio uhai wenyewe bila uchumi dunia ya leo uhai haupo jaribu kukaa bila fedha yeyote mwezi uone kama utaishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaccm haelewagi chochote hadi yamkute you are
Siku Covid ikimfyekelea mbali meko ndo mtajua corona inauaulikuwa hujui tuu watu wanakufa sana miaka yote sema ukifahamu kuwa ni hali ya kawaida na yakiasili isiyo epukika utamshukuru mungu azidi kukujalia afya njema na bila.kuendekeza hofu ya ziada
Sent using Jamii Forums mobile app
unataka siku ya leo na tarehe ya leo?Tuambie kifo gan cha gafla kimetokea hapa tz siku za karibuni
Mzee kaiacha Benz yake. Apumzike kwa amani [emoji1545][emoji1545][emoji1545]naogopa kuweka picha zao hapa, lkn kwenye Mitandao wapo kibao
mmoja wa TISS wamempumzisha Mbeya huko
Mwingine Diwani Moshi Kilimanjaro
Mwingine Dr aliwahudumia wenye corona DSM
Mwingine wa karibu TCRA wamempeleka Tanga
jamani Corona ipo, tujikinge tusiambukizane, maana msioamini ndio mnaotuletea
View attachment 1460208
HakunaTuambie kifo gan cha gafla kimetokea hapa tz siku za karibuni
Jamaa anapata tabu,kila siku anapiga ramli.Bado unahangaika tu?
Mzee kaiacha Benz yake. Apumzike kwa amani [emoji1545][emoji1545][emoji1545]