joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
COVID19: IMF Rushes to Rwanda’s Rescue as Economy Grinds to a Halt; Urges International Grants
Fuko la fedha la dunia (IMF) limelazimika kuingilia kati na kuikopesha fedha Rwanda kwa dharura, ili kuunusuru uchumi wake ambao upo taabani kufuatia agizo la kuzuia watu majumbani kwa wiki 3.
Hivi inaonyesha ni jinsi gani hizi chini zetu zilivyo dhahifu sana, kiasi cha kushindwa kuhimili misukosuko japo kwa wiki moja, hivyo ni vizuri kwa viongozi wetu kusoma mazingira ya nchi husika kwanza kabla ya kutoa maamuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuko la fedha la dunia (IMF) limelazimika kuingilia kati na kuikopesha fedha Rwanda kwa dharura, ili kuunusuru uchumi wake ambao upo taabani kufuatia agizo la kuzuia watu majumbani kwa wiki 3.
Hivi inaonyesha ni jinsi gani hizi chini zetu zilivyo dhahifu sana, kiasi cha kushindwa kuhimili misukosuko japo kwa wiki moja, hivyo ni vizuri kwa viongozi wetu kusoma mazingira ya nchi husika kwanza kabla ya kutoa maamuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app