Mabibi na mabwana ujinga si tusi bali ni hali halisi ya kuwa na uelewa mdogo au kutokuwa na uelewa kabisa kuhusu jambo fulani.
Hayupo binadamu mmoja asiyekuwa na ujinga katika mambo yote.
Kwamba kila mtu atakufa? Hilo ni dhahiri. Lakini halina maana kuwa tujifie tu hata kama ni kwa kujisalamisha wenyewe kwenye kifo.
Kwamba tuna Janga na watu wanakufa kwa uzembe wetu? Asivishwe Mungu lawama zisizomhusu kwenye hilo.
Chanjo za Corona zipo, zinapatikana bure na ni wajibu wa Serikali kuona kuwa tunaozihitaji tunazipata.
Pana hatua za kuwahami watu kuhusiana na Corona. Ni wajibu wa serikali kuhakikisha kuwa inawajibika kuwahami watu wake kwenye mambo yanayohitaji uwepo wake.
Kwamba serikali imeonyesha nia ya kuukataa wajibu wake? Hili litakuwa suala jingine sasa. Kwani ipo madarakani kwa ajili ya nini basi?
Kuwaitisha serikali kutelekeza wajibu wake ni wajibu wetu sisi kama wananchi.
Serikali haina mamlaka ya kuikataa miito yetu labda kama haituwakilishi sisi.
Ninawasilisha.
Hayupo binadamu mmoja asiyekuwa na ujinga katika mambo yote.
Kwamba kila mtu atakufa? Hilo ni dhahiri. Lakini halina maana kuwa tujifie tu hata kama ni kwa kujisalamisha wenyewe kwenye kifo.
Kwamba tuna Janga na watu wanakufa kwa uzembe wetu? Asivishwe Mungu lawama zisizomhusu kwenye hilo.
Chanjo za Corona zipo, zinapatikana bure na ni wajibu wa Serikali kuona kuwa tunaozihitaji tunazipata.
Pana hatua za kuwahami watu kuhusiana na Corona. Ni wajibu wa serikali kuhakikisha kuwa inawajibika kuwahami watu wake kwenye mambo yanayohitaji uwepo wake.
Kwamba serikali imeonyesha nia ya kuukataa wajibu wake? Hili litakuwa suala jingine sasa. Kwani ipo madarakani kwa ajili ya nini basi?
Kuwaitisha serikali kutelekeza wajibu wake ni wajibu wetu sisi kama wananchi.
Serikali haina mamlaka ya kuikataa miito yetu labda kama haituwakilishi sisi.
Ninawasilisha.