Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,043
- 3,305
DAMN!!! kwahiyo hizo picha ulizocapture na kuziattach humu ni softcopy sio!!?🙄Hivi ili usome kitabu lazma uwe nacho mkononi? Hujui kuhusu soft copy?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kashaleta siasa, analeta habari za SOFT COPY.Hata mm nipo hapa nasubir afanye ivyo.
Kamuharibia aliyesema, aandike jina analotumia kwenye ukurasa wa 50, huu uzi hauna maisha.DAMN!!! kwahiyo hizo picha ulizocapture na kuziattach humu ni softcopy sio!!?[emoji849]
[emoji124][emoji124]PURE ME....
Kamuharibia aliyesema, aandike jina analotumia kwenye ukurasa wa 50,huu uzi hauna maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usikubali kama hizo picha umeokota mtandaoni yaishe mpwa, usije aibika bure.Hivi ili usome kitabu lazma uwe nacho mkononi? Hujui kuhusu soft copy?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kukitafuta saana hatimae kitabu nimekipata baadhi ya maandiko haya ambapo kitabu kimetabiri corona itapotea hapaView attachment 1412025View attachment 1412026
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ninayo ya Sheikh wangu Mawlana Sheikh Nazim Adil. Mwaka 2011 alitamka hilo suala la virus.
Story za kupikwa hizo basi wabongo wanazipendaaaKingetabiri na dawa
Stupid argumentHivi ili usome kitabu lazma uwe nacho mkononi? Hujui kuhusu soft copy?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa nacho softcopy ungetuma picha screenshots.sasa unasema umetafuta na ukapata kitabu kilichotafsiri alafu unatutumia picha zile zile zilizozagaa mitandaoni sasa wew umetafuta nini jamaa?ungeandika "Nimeomba kutumiwa picha zilizosambaa kuhusu utabiri wa korona katika kitabu sasa nimezipata"..na sio kutuandikia as if umesoma na unatutumia picha zile zile.Ni sawa na kutuambia mkeo kajifungua mtoto wa kiume alafu unanionesha wa jirani.kuwa serious[emoji57][emoji57][emoji57]Hivi ili usome kitabu lazma uwe nacho mkononi? Hujui kuhusu soft copy?
Sent using Jamii Forums mobile app
'ungeandika "Nimeomba kutumiwa picha zilizosambaa kuhusu utabiri wa korona katika kitabu sasa nimezipata"..na sio kutuandikia as if umesoma na unatutumia picha zile zile.Ni sawa na kutuambia mkeo kajifungua mtoto wa kiume alafu unanionesha wa jirani.kuwa serious[emoji57][emoji57][emoji57]'Ungekuwa nacho softcopy ungetuma picha screenshots.sasa unasema umetafuta na ukapata kitabu kilichotafsiri alafu unatutumia picha zile zile zilizozagaa mitandaoni sasa wew umetafuta nini jamaa?ungeandika "Nimeomba kutumiwa picha zilizosambaa kuhusu utabiri wa korona katika kitabu sasa nimezipata"..na sio kutuandikia as if umesoma na unatutumia picha zile zile.Ni sawa na kutuambia mkeo kajifungua mtoto wa kiume alafu unanionesha wa jirani.kuwa serious[emoji57][emoji57][emoji57]
Ni hatari sana ila Movie nyingi za zamani zilikuwa zinafanywa ku_spin mambo tu,si unajua wachungaji wengi ni TISS.