Corona Virus: Marekani yatangaza hali ya dharura. Hali yatabiriwa kuwa mbaya zaidi wiki 8 zijazo

Corona Virus: Marekani yatangaza hali ya dharura. Hali yatabiriwa kuwa mbaya zaidi wiki 8 zijazo

Kinachotisha sio idadi ya vifo bali kasi ya maambukizi ni kubwa sana kiasi cha kutishia kuangusha mfumo wa tiba. Baadhi huumwa sana kiasi cha kulazimika kulazwa ICU, hata hivyo idadi ya wodi hizo ni chache kuhimili wagonjwa. Ndio maana unasikia kuna hospitali za dharura/maalum zimejengwa/tengwa kuhudumia ongezeko la wagonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mwendo wa kununua stock ya kutosha ya chakula na kujifungia ndani until futher notice.
Ulaya na Marekani watu wamekimbilia ku stock toilet paper hadi kusabisha upungufu mkubwa madukani na supermarket. Swali why toilet paper?
 
Ulaya na Marekani watu wamekimbilia ku stock toilet paper hadi kusabisha upungufu mkubwa madukani na supermarket. Swali why toilet paper?
Kwasababu China ndio wanazalisha hizi TP na kutokana na tatizo hili la Coronavirus yawezekana wasiweze tena ku export.
Ni kwa matumizi ya kawaida.
 
So far hakuna Mwafrika (black) aliyekuwa tested positive na hizi cases reported Africa wote sio waafrica isipokuwa Kenya ambapo nako bado kuna utata kama yule mgonjwa ni Mkenya mwenye ngozi nyeusi

Let’s hope for the best. Kuna giza nene huko mbele maana hii hali ya baadhi ya Nchi kupiga marufuku ndege kuingia kwao, kutokutoa visa na mipaka kufungwa mwisho wake ni vitu kupanda bei
 
Ngoja nao wakune vichwa maana walikuwa wakipika report kuwa china inatesa raia wake
 
Back
Top Bottom