Corona Virus: Marekani yatangaza hali ya dharura. Hali yatabiriwa kuwa mbaya zaidi wiki 8 zijazo

Corona Virus: Marekani yatangaza hali ya dharura. Hali yatabiriwa kuwa mbaya zaidi wiki 8 zijazo

So far hakuna Mwafrika (black) aliyekuwa tested positive na hizi cases reported Africa wote sio waafrica isipokuwa Kenya ambapo nako bado kuna utata kama yule mgonjwa ni Mkenya mwenye ngozi nyeusi

Let’s hope for the best. Kuna giza nene huko mbele maana hii hali ya baadhi ya Nchi kupiga marufuku ndege kuingia kwao, kutokutoa visa na mipaka kufungwa mwisho wake ni vitu kupanda bei
Odoi kiongozi
 
Wanasema ni asilimia 2 hadi 6 za wanaoupata hufariki.

Wengi wao ni wazee wa miaka 60 na kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wanaoathirika na kusambaza ni watu wenye fedha, na positions, coz ndiyo wenye uwezo wa kukwea pipa na kukutana na watu wenye muingiliano...kama huyo aliyesimama pembeni ya Trump...PM wa Canada...Iranian MPs...
Ingekuwa waathirika ni maskini, mpaka tumeusikia walishakufa watu hata laki3...

Ni mtizamo tu binafsi...

Mkulima huko Matombo, atapelekewa tu...

Everyday is Saturday....................... 😎
 
Huu mzigo no hatari sana sio wa kuupimia!!!! Nadhani hats wazungu waliukadiria vibaya
 
Na wanaoathirika na kusambaza ni watu wenye fedha, na positions, coz ndiyo wenye uwezo wa kukwea pipa na kukutana na watu wenye muingiliano...kama huyo aliyesimama pembeni ya Trump...PM wa Canada...Iranian MPs...
Ingekuwa waathirika ni maskini, mpaka tumeusikia walishakufa watu hata laki3...

Ni mtizamo tu binafsi...

Mkulima huko Matombo, atapelekewa tu...

Everyday is Saturday....................... 😎
Haha hivi mkuu mtu wa matombo utamfikia kweli? Niliwahi kumsindikiza mtu kwenye msiba, mnapanda milima mpka mnatafuta sehemu ya kupumzika.

Sidhani kama polisi wanafika kule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu bado una mtazamo ule ule, imetoka kwa wakwea pipa sasa
Na wanaoathirika na kusambaza ni watu wenye fedha, na positions, coz ndiyo wenye uwezo wa kukwea pipa na kukutana na watu wenye muingiliano...kama huyo aliyesimama pembeni ya Trump...PM wa Canada...Iranian MPs...
Ingekuwa waathirika ni maskini, mpaka tumeusikia walishakufa watu hata laki3...

Ni mtizamo tu binafsi...

Mkulima huko Matombo, atapelekewa tu...

Everyday is Saturday....................... 😎

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noma sana kamanda...jamaa ana maskadi kibao sijui anasubiri nini kulipua hili janga...very sad aise!
Inasikitisha ile mibomu yao ya nyuklia, inaota kutu, haisaidii kitu, DEFENCE BUDGET ZA TRILLIONS, kikorona kidudu kinachoonekana kwa darubini...kinawapelekesha...

Everyday is Saturday....................😎
 
Ila corona ni hatari yaani ukiona inavowafagia superpower unajiuliza hivi ikidondoka bongoland na bguvu hiyo hiyo si itabaki miti na mawe tu? Kwa kweli tuombe kwa nguvu muumba atuepushe. Sioni kabisa tutachukuwa measures gani ambazo wazungu hawajafanya na bado inawaangamiza
 
Back
Top Bottom