Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Believe me or not nawaambia hakuna mwafrika mweusi atakayekufa kwa Corona zaidi ya kuumwa tu na kupona.
Lakini simaanishi kwamba eti tusiache kubeba tahadhari.
Tuendelee kuchukua tahadhari na kufuata kanuni za Wizara ya Afya hili litapita tu.
Lakini mark my words kwamba No any African will die due to Corona virus.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vice President wa bunge la Burkina Faso amekufa kwa Corona
Sent from my iPhone using Tapatalk