Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

Believe me or not nawaambia hakuna mwafrika mweusi atakayekufa kwa Corona zaidi ya kuumwa tu na kupona.

Lakini simaanishi kwamba eti tusiache kubeba tahadhari.

Tuendelee kuchukua tahadhari na kufuata kanuni za Wizara ya Afya hili litapita tu.

Lakini mark my words kwamba No any African will die due to Corona virus.

Sent using Jamii Forums mobile app

Vice President wa bunge la Burkina Faso amekufa kwa Corona


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Nafikiri inatakiwa iwekwe utaratibu. Taarifa zote ama za watu binafsi ama mashirika nakadhalika juu ya kuenea na kudhibiti ugonjwa huu wa Corona zinatakiwa kutolewa na chombo rasmi ambayo ni wizara ya Afya. Iwe marufuku kutoa takwimu na taarifa juu ya ugonjwa huu bila kuidhinishwa na Wizara yetu ya Afya. Hii itasaidia sana kupunguza taharuki nchini juu ya ugonjwa huu. Yeyote atakaye kiuka utaratibu huu ashughulikiwe hasa. Mitandao yote na vyombo vingine vya habari vifuatiliwe kwa ukaribu. Wahusika wafanyie kazi ushauri huu.
 
Nafikiri inatakiwa iwekwe utaratibu. Taarifa zote ama za watu binafsi ama mashirika nakadhalika juu ya kuenea na kudhibiti ugonjwa huu wa Corona zinatakiwa kutolewa na chombo rasmi ambayo ni wizara ya Afya. Iwe marufuku kutoa takwimu na taarifa juu ya ugonjwa huu bila kuidhinishwa na Wizara yetu ya Afya. Hii itasaidia sana kupunguza taharuki nchini juu ya ugonjwa huu. Yeyote atakaye kiuka utaratibu huu ashughulikiwe hasa. Mitandao yote na vyombo vingine vya habari vifuatiliwe kwa ukaribu. Wahusika wafanyie kazi ushauri huu.
Pumba kama Serikali imeshindwa kufanya kazi yake.
Acha iwe hvihvi ndo vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We utakua nabii si bure kila unachoongea kinakujaga kuwa kweli
Umejiuliza vyema sana,maswali kama haya ndio watu hupaswa kujiuliza,na kama utaendelea kujiuliza namna hii,nakuhakikishia utakuja kugundua kwamba corona ugonjwa wa kipumbavu sana.

Endelea pia kujiuliza,hao ambao amekaa jirani nao,nao pia wameshakaa jirani na akina nani na wanaendelea kukaa jirani na akina nani.na hao kina nani wanakaa jirani na kina nani na watakaa jirani na kina nani...corona ni upumbavu kama upumbavu mwingine tuliowahi kuusikia.

Kwa tunavyoambiwa jinsi corona inavyoambukizwa,na hiyo chain ya maambukizi ina maana tutatarajie tutakufa sana,sio? Now,lets see kama tutakufa kama nzige kama baadhi ya watu humu wanavyosema.

Malengo ya hao waliopachika ugonjwa wa mafua ya kawaida jina la corona yatakapotimia,utaona jinsi ugonjwa huu feki utakavyopotea kimyakimya.
 
Back
Top Bottom