Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Believe me or not nawaambia hakuna mwafrika mweusi atakayekufa kwa Corona zaidi ya kuumwa tu na kupona.
Lakini simaanishi kwamba eti tusiache kubeba tahadhari.
Tuendelee kuchukua tahadhari na kufuata kanuni za Wizara ya Afya hili litapita tu.
Lakini mark my words kwamba No any African will die due to Corona virus.
Sent using Jamii Forums mobile app
Botswana imetangaza muda mchache uliopita amekufa mwafrika wa kwanza.
Sent using Fly in any Weather.
Ya ni kweli aisee,ni mwanamke alikuwa na miaka 62.Vice President wa bunge la Burkina Faso amekufa kwa Corona
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ya ni kweli aisee,ni mwanamke alikuwa na miaka 62.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Uje nikuoe mm!maana mm naoaga wanaume wenzanguUmeolewa..? Nataka nikuwowe!
Shule zimefungwa kwa muda wa siku30...kuanzia awali hadi kidato Cha sita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumba kama Serikali imeshindwa kufanya kazi yake.Nafikiri inatakiwa iwekwe utaratibu. Taarifa zote ama za watu binafsi ama mashirika nakadhalika juu ya kuenea na kudhibiti ugonjwa huu wa Corona zinatakiwa kutolewa na chombo rasmi ambayo ni wizara ya Afya. Iwe marufuku kutoa takwimu na taarifa juu ya ugonjwa huu bila kuidhinishwa na Wizara yetu ya Afya. Hii itasaidia sana kupunguza taharuki nchini juu ya ugonjwa huu. Yeyote atakaye kiuka utaratibu huu ashughulikiwe hasa. Mitandao yote na vyombo vingine vya habari vifuatiliwe kwa ukaribu. Wahusika wafanyie kazi ushauri huu.
Umejiuliza vyema sana,maswali kama haya ndio watu hupaswa kujiuliza,na kama utaendelea kujiuliza namna hii,nakuhakikishia utakuja kugundua kwamba corona ugonjwa wa kipumbavu sana.
Endelea pia kujiuliza,hao ambao amekaa jirani nao,nao pia wameshakaa jirani na akina nani na wanaendelea kukaa jirani na akina nani.na hao kina nani wanakaa jirani na kina nani na watakaa jirani na kina nani...corona ni upumbavu kama upumbavu mwingine tuliowahi kuusikia.
Kwa tunavyoambiwa jinsi corona inavyoambukizwa,na hiyo chain ya maambukizi ina maana tutatarajie tutakufa sana,sio? Now,lets see kama tutakufa kama nzige kama baadhi ya watu humu wanavyosema.
Malengo ya hao waliopachika ugonjwa wa mafua ya kawaida jina la corona yatakapotimia,utaona jinsi ugonjwa huu feki utakavyopotea kimyakimya.