Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
We Kweli una *magonjwa mtambuka* hujielewi...Wewe ni mjinga sana, hata usemeje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Kweli una *magonjwa mtambuka* hujielewi...Wewe ni mjinga sana, hata usemeje.
Kwani wewe unajielewa?We Kweli una *magonjwa mtambuka* hujielewi...
Waingereza, wajapan, Sweden na nchi nyingi za Ulaya pia hazipimi, lakini idadi ya wagonjwa na vifo vinaongezeka kila siku. Vipi kuhusu watu wanaokufa kwa Corona, hata waganda hawapimi vifo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashinda ukirudia hili jambo ni kama akili yako ikisharekodi jambo, unarudia rudia hilo jambo kama tepu rekoda iliyoharibika.Kenyans are always careless.
1.wale magaidi walipovamia Mall. Wanajeshi walipoingia ndani wakaanza kuiba simu, biskuti etc kwenye supamaketi.
Huyo jamaa lengo lake ni kutaka kuonyesha kwamba bado wanayosababu ya kushindana na Tanzania, lengo lake hataki ionekane kwamba Kenya imeshindwa na Tanzania, atabadisha kila lugha ili aendelee kujipa matumaini ya kijinga.Hawa akili zao zina ganzi wao wanachojua ukimuiga marekani tu bac ndio ushatoboa Sasa mmarekani mwenyew anatapatapa ndio maana mk254 kilacku badala ya kusifu maambukiz yanapungua utaona "linaandika ndani ya masaa 24 tumepima watu 268 tumepata 7 wenye virusi " ni upumbavu wa kiwango Cha juu kabisa , Sasa kunafaida gani ya kuaanfika au chakufurahia hasa au anafurahia kupima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mkianza kuanguka kama nzi ndio mtajua umuhimu wa kupima watu. Sasa hivi Dar watu wanayo virusi vya corona ila hakuna vipimo. Sasa mnangoja watu waanze kuanguka kila mahali ili mjue hali ni tete? Pimeni watu wacheni zogoAcha hasira wewe nyang'au.
Lakini si ni kweli kwamba ninyi ni watu wa hovyo?, badala ya kuziba njia kuu zinazosababisha maambukizi mapya, ninyi kazi yenu ni kupima watu na kutangaza, bila kuchukua hatua madhubuti kama walivyofanya waganda na Rwanda. Maambukizi yakianza kupungua kwa wenzenu Wanyarwanda wenye idadi kubwa kama ninyi, mtaanza kusema ni kwasababu hawapimi watu wengi, wajinga kabisa ninyi.Unashinda ukirudia hili jambo ni kama akili yako ikisharekodi jambo, unarudia rudia hilo jambo kama tepu rekoda iliyoharibika.
Inategemea Uganda walipima watu gani. Sisi tunafanya contact tracing na tunapima familia ya muathirika pia. Hatujui pengine Uganda walikuwa wanapima watoto wa Museveni na familia yake.Uganda juzi walipima watu 231 kwa siku na hawakupata hata mtu mmoja mwenye virusi, siku hiyo hiyo Kenya ilipima watu 210 na ilipata watu 7 wenye vizuri. Kenya ni wazembe sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waingereza, wajapan, Sweden na nchi nyingi za Ulaya pia hazipimi, lakini idadi ya wagonjwa na vifo vinaongezeka kila siku. Vipi kuhusu watu wanaokufa kwa Corona, hata waganda hawapimi vifo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, maneno ya mtu mwenye kukata tamaa hayo, mbona wasianze kuumwa na kwenda katika vituo vya Afya kutafuta matibabu?, au Tanzania virusi havitudhuru ndio sababu hatufi kama ninyi wakenya?Nyie mkianza kuanguka kama nzi ndio mtajua umuhimu wa kupima watu. Sasa hivi Dar watu wanayo virusi vya corona ila hakuna vipimo. Sasa mnangoja watu waanze kuanguka kila mahali ili mjue hali ni tete? Pimeni watu wacheni zogo
Sahamani dada sitarudia tenaUnashinda ukirudia hili jambo ni kama akili yako ikisharekodi jambo, unarudia rudia hilo jambo kama tepu rekoda iliyoharibika.
Mkuu pengine huna data ya internet naweza kukutumia pesa ukanunue data ili uingie kwenye internet ugoogle kama kweli Uingereza hawapimi. Kama Kenya inapima, itakuwaje Uingereza ambayo ni tajiri zaidi ya mara mia moja ya Kenya haipimi? Nchi za Europe karibu zote zimeshafanya vipimo zaidi ya elfu mia moja. Tanzania tu ndio masikini na wazembe halafu wanafikiri kila mtu hapimi kwa sababu wao hawapimi.Wewe ndio mjinga peke yako, huna unalojua zaidi ya kupiga domo, nchi zote za Ulaya hazipimi wanatumia dalili pekee, hiyo haizuii kuwajua wagonjwa na kujua waliokufa.
Juzi Kenya walipima watu 210 na kupata walioambukizwa ni 7, siku hiyo hiyo Uganda walipima watu 231, hakuna hata mmoja aliyekutwa na maambukizi.
Hawa wakenya ni wazembe sana, badala ya wao kujikita zaidi katika kuzuia maambukizi yasisambae, wao kazi yao ni kupima na kutangaza matokeo na kujisifia kupima kwamba ndio jambo la maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga wewe na ukoo wenu usitushirikishe kwenye ujinga wa ukoo wenu!Kweli sisi ni majitu majinga sana sana
Sahamani dada sitarudia tena
Tony254, Mimi nikisema kwamba Kenya hamna akili na wala hamjui mnalofanya hapa duniani unadhani ninasema kiushabiki.Mkuu pengine huna data ya internet naweza kukutumia pesa ukanunue data ili uingie kwenye internet ugoogle kama kweli Uingereza hawapimi. Kama Kenya inapima, itakuwaje Uingereza ambayo ni tajiri zaidi ya mara mia moja ya Kenya haipimi? Nchi za Europe karibu zote zimeshafanya vipimo zaidi ya elfu mia moja. Tanzania tu ndio masikini na wazembe halafu wanafikiri kila mtu hapimi kwa sababu wao hawapimi.
Hao Waganda ni wapumbavu! Kenya inaonekana maambukizi kuwa juu kwa sababu wanajitahidi kupima watu wengi na kutangaza idadi sahihi
Acha hasira wewe nyang'au.
Sasa nani anashindwa we nyan'gau kweli.kama unataka kudhibitisha uume wangu, naweza tia dadako na mkeo mimba kwa siku moja.
Score board
Kenya 184, 7deaths
Bongo 25, 1death
Hahahaha, hahahaha, hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app