Corona: Waganda washitushwa na kasi ya maambukizi ya Kenya, washauriana kutotembelea Kenya

Corona: Waganda washitushwa na kasi ya maambukizi ya Kenya, washauriana kutotembelea Kenya

Sio kweli kwamba Kenya inafuata muongozo wa WHO, wala WHO haisemi kwamba " contacts tracing" inahusisha upimaji.
Lengo la kupima watu wenye dalili pekee ni ili kupunguza gharama za upimaji, na kupunguza mzigo wa kazi kwa Taifa.

Muongozo wa WHO unasema kwamba, kila mtu mwenye kutiliwa mashaka kama hajaonyesha dalili, anapaswa kuwekwa chini ya uangalizi/karantini kwa siku zisizopungua 14, kama ndani ya kipindi hicho ataonyesha dalili yoyote, ndia apimwe, ila kama hana dalili, hapaswi kupimwa.

Watu wote waliopatikana katika zoezi la Contacts tracing' wanapaswa kuwekwa chini ya uangalizi kwa siku 14, sio kuwapima kama mnavyofanya ninyi, wale tu watakaoonyesha dalili ndio wapimwe.

Haiwezikani hata kidogo mpime zaidi ya watu 5000 wenye kuonyesha dalili, lakini wenye virusi wapatikane 184, labda kama hizo dalili hamzijui ndio sababu mnapata wengi hawana maambukizi pamoja na kuonyesha dalili.

Ninyi mnapima kila " Contact " na kila mtu ambayo yupo katika karantini, huo sio muongozo wa WHO, huo ni ninyi kwa kukurupuka kwenu mumeamua kufanya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa sababu wewe nimjuaji hebu tueleze muongozo wa WHO on what we call assymptomatic patients ambao hawaonyeshi dalili lakini wako na virus .
Ukijibu utakuwa umetusaidia sana.
 
Sio kweli kwamba Kenya inafuata muongozo wa WHO, wala WHO haisemi kwamba " contacts tracing" inahusisha upimaji.
Lengo la kupima watu wenye dalili pekee ni ili kupunguza gharama za upimaji, na kupunguza mzigo wa kazi kwa Taifa.

Muongozo wa WHO unasema kwamba, kila mtu mwenye kutiliwa mashaka kama hajaonyesha dalili, anapaswa kuwekwa chini ya uangalizi/karantini kwa siku zisizopungua 14, kama ndani ya kipindi hicho ataonyesha dalili yoyote, ndia apimwe, ila kama hana dalili, hapaswi kupimwa.

Watu wote waliopatikana katika zoezi la Contacts tracing' wanapaswa kuwekwa chini ya uangalizi kwa siku 14, sio kuwapima kama mnavyofanya ninyi, wale tu watakaoonyesha dalili ndio wapimwe.

Haiwezikani hata kidogo mpime zaidi ya watu 5000 wenye kuonyesha dalili, lakini wenye virusi wapatikane 184, labda kama hizo dalili hamzijui ndio sababu mnapata wengi hawana maambukizi pamoja na kuonyesha dalili.

Ninyi mnapima kila " Contact " na kila mtu ambayo yupo katika karantini, huo sio muongozo wa WHO, huo ni ninyi kwa kukurupuka kwenu mumeamua kufanya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kila siku mtatangaza watano ndani ya siku ishirini mtakuwa na wagonjwa 100 mkitumia mfumo wa kupima watu wote kwa siku mtapata wagonjwa 100 ndani ya siku ishirini mtakuwa na wagonjwa 20,000 sijui kama mtapata pa kuwaweka.
Ila tumaini letu ni Mungu atatushindia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenyans are always careless.

1.wale magaidi walipovamia Mall. Wanajeshi walipoingia ndani wakaanza kuiba simu, biskuti etc kwenye supamaketi.
KDF hawana tofauti na mgambo tu,walijaza vifaru eneo lote lile la parking ya mall
 
basi la jiwe ...mwendokasi hoyeee[emoji23]
FB_IMG_1586612317802.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uganda juzi walipima watu 231 kwa siku na hawakupata hata mtu mmoja mwenye virusi, siku hiyo hiyo Kenya ilipima watu 210 na ilipata watu 7 wenye vizuri. Kenya ni wazembe sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania imepima watu chini ya elfu kwahivyo hata msiongee kitu ikija kwa vita didhi ya corona. Tena isitoshe, mmeficha idadi kamili ya watu mliopima,hii inaonyesha mbali na kuwa hamjapima watu wengi, kuna uwezekano hata wale mliopima hamsemi ukweli manake sioni sababu yeyote ya kuficha idadi ya watu mliopima


1586625135939.png



1586625764829.png




Ukiangalia takwimu za idadi ya waliopimwa hapa Eastern Africa, Kenya ndo imepima wengi zaidi kuliko nchi nyengine ikiwa imepima sampuli 6,192, kati ya 6,192 ni wagonjwa 192 ndo walipatikana na corona..... Ni Djibouti tu ndo inaikaribia Kenya kwa kupima ikiwa imepima sampuli 4,017 na kati ya hao ni 187 ndo wako na corona.





Na ukiangalia takwimu za nchi zengine ambazo zimepima sampuli kati ya 5,000 na 7,000 kama vile Kenya, utaona ushahidi vile kesi zao za walio na corona ni zaidi ya angalau 150... Hii inadhahirisha vile kadri unavyopima wengi ndivyo uko na nafasi za kugundua walio positive ni wengi.... offcourse una exeptions kadhaa lakini chache tu ambapo utakuta hawajapima watu wengi lakini wako na +ve nyingi za corona, lakini kwa majority hali inaenda kwa hio ratio ya walio positive inaendana na idadi ya sampuli zilizopimwa

1586626379248.png





Hata huko ulimwenguni, Nchi zilizopima watu wengi zaidi kama marekani na Italy ndo ziko na idadi nyingi ya walio positive, kuna exeptions kadhaa tu kama russia na UAE... lakini hao wengine wanafwata hio graph ya ratio ya waliopimwa na walio positive
 
Back
Top Bottom