The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Co watapata tabu, wanapata tabu.Watapata tabu sana
Hahahaha ww mjinga kweli yn unajisahaulisha kwmb Jf ni mali halali ya Tz, tuna haki ya kuingia forum yyte ile cz ni mali yetu, tengenezeni yenu af muone km tutakuja.Na ww unafanya Nini kwa Forum Kenya peleka ujinga yako kwa Forum yenu.Hakuna Mkenya ata mmoja utampta uko.Ni nyie Maccm mmejazana kwa Forum yetu tu
Ujinga ipi ama ya kiimaniNa ww unafanya Nini kwa Forum Kenya peleka ujinga yako kwa Forum yenu.Hakuna Mkenya ata mmoja utampta uko.Ni nyie Maccm mmejazana kwa Forum yetu tu
Acha ujinga, Jf ni ya watanzania imewekwa forums za nchi jirani ili WaTz tuongelee mambo ya nchi jirani, ss nyie kimbelembele chenu ndo kinawaleta humu, tengenezeni yenu af muone kama tutawafuta.We ccm hauoni Forum ni ya Kenya.Mkibadilisha na sisi tutatoka
We Kunya boy, Forum ya Kenya ndio nini?We ccm hauoni Forum ni ya Kenya.Mkibadilisha na sisi tutatoka
Nyie mna kimbelembele sn ndo mana mnabakwa [emoji3][emoji3]We ccm hauoni Forum ni ya Kenya.Mkibadilisha na sisi tutatoka
Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania,Na ww unafanya Nini kwa Forum Kenya peleka ujinga yako kwa Forum yenu.Hakuna Mkenya ata mmoja utampta uko.Ni nyie Maccm mmejazana kwa Forum yetu tu
Dah. Walifikia hatua hiyo kweli?Nadhani pia ile shutuma ya kwamba mkenya mwenzao kaliwa boga imewauma sn, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] waganda kumbe wahuni sn
Hawajui kwamba wengine humu hata huyo Magu wanayemuogopa hatukuwahi kumpigia kura [emoji3][emoji3]Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania,
Usitupangie pa kuingia,
Yaani ni sawa na uje kwangu halafu unipangie chumba cha kuingia wakati nyumba ni yangu,
Halafu huwa mnadhani kila mtu ni ccm humu [emoji23] yaani hapo ndio mnapo ingia chaka.
Wakenya shobo nyng bro, pia wana njaa sn ndo mana wanaliwa kimasihara [emoji3][emoji3]Dah. Walifikia hatua hiyo kweli?
Waganda washafanya yao, so now tunasubiri mrejesho ili na cc tuanze kuwatafuna [emoji3][emoji3]Nenda Forum ya Tanzania.Najua mnaogopa kupashwa ukweli Sasa mnapenda kujifichia uku
Rais ni WaTz ww unawezaje kuuona ushenzi wake km co wivuTuogope dictator mshenzi?? Nyinyi endeeleni kumwogopa wengine wetu tunamwogopa tu Mungu
Ukweli upi?Nenda Forum ya Tanzania.Najua mnaogopa kupashwa ukweli Sasa mnapenda kujifichia uku
Nyie kila kitu cha Kenya!! Nini ambacho sio chenu?We mwana Chato hauna macho??? Naelewa nyie nyote ni blinders tu😂😂
Binafsi sikumpigia kura [emoji23]Hawajui kwamba wengine humu hata huyo Magu wanayemuogopa hatukuwahi kumpigia kura [emoji3][emoji3]
Nadhani pia ile shutuma ya kwamba mkenya mwenzao kaliwa boga imewauma sn, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] waganda kumbe wahuni sn
Nyie kila kitu cha Kenya!! Nini ambacho sio chenu?
Yaani nyie wapumbav kweli kweli, JF Imeshakuwa ya Kenya@Kunya Boys
Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania,Lakini Forum discussion ni ya Kenya we Lumumba
We jamaa fala kweli, yn ww mgeni af unamfukuza mwenyeji wako nyumbani kwake, roho mby mtaacha lini nyie [emoji205][emoji3][emoji3]Nenda kalie kwa Forum discussion ya Tanzania unafanya nini hapa??