Corona: Wakenya waanzisha fujo mpakani na Uganda

Corona: Wakenya waanzisha fujo mpakani na Uganda

Na ww unafanya Nini kwa Forum Kenya peleka ujinga yako kwa Forum yenu.Hakuna Mkenya ata mmoja utampta uko.Ni nyie Maccm mmejazana kwa Forum yetu tu
Hahahaha ww mjinga kweli yn unajisahaulisha kwmb Jf ni mali halali ya Tz, tuna haki ya kuingia forum yyte ile cz ni mali yetu, tengenezeni yenu af muone km tutakuja.
 
Na ww unafanya Nini kwa Forum Kenya peleka ujinga yako kwa Forum yenu.Hakuna Mkenya ata mmoja utampta uko.Ni nyie Maccm mmejazana kwa Forum yetu tu
Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania,

Usitupangie pa kuingia,

Yaani ni sawa na uje kwangu halafu unipangie chumba cha kuingia wakati nyumba ni yangu,

Halafu huwa mnadhani kila mtu ni ccm humu [emoji23] yaani hapo ndio mnapo ingia chaka.
 
Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania,

Usitupangie pa kuingia,

Yaani ni sawa na uje kwangu halafu unipangie chumba cha kuingia wakati nyumba ni yangu,

Halafu huwa mnadhani kila mtu ni ccm humu [emoji23] yaani hapo ndio mnapo ingia chaka.
Hawajui kwamba wengine humu hata huyo Magu wanayemuogopa hatukuwahi kumpigia kura [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom