babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania hutaki andamana [emoji23]Na wewe tengeneza forum ya Ccm mdiscuss ujinga zenu uko
Nenda kalie kwa Forum discussion ya Tanzania unafanya nini hapa??
Hii ni forum ya Tanzania na inamilikiwa na Mtanzania,
Wewe ndio uende kwenye forum zenu za kikabila.
Akanyage kubwa kubwa [emoji23]
Mbona unajiqoute sasa!!! Au jf hujui kuitumiaUlipata buku zako Saba Jana😂😂
Mapunga hawa washatolewa malinda kule Malaba [emoji3][emoji3]Mbona unajiqoute sasa!!! Au jf hujui kuitumia
Mapunga hawa washatolewa malinda kule Malaba [emoji3][emoji3]
Kwenye suala la ubunifu ndio hawagusi kabisa hilo lipo wazi, wanachotuzidi cc ni uhuni na kutokuwa waaminifu hapo sawa.Wakenya sio wabunifu kila kitu wanasubiria mzungu tu halafu Wana sema waTZ sio wabunifu huku wanaendelea kupiga propaganda jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye suala la ubunifu ndio hawagusi kabisa hilo lipo wazi, wanachotuzidi cc ni uhuni na kutokuwa waaminifu hapo sawa.
As I said all Ccm puppets are really stupid.
Elezea wanaLumumba wenzako hayo.Nyie naona mpo busy sana Kenya
Sawa basi Wana Ccm ni wabinifu sana.Umefurahi ndungu[emoji23][emoji23].Ubunifu kwa kumwaga majungu mtandaoni
We jamaa fala kweli, yn ww mgeni af unamfukuza mwenyeji wako nyumbani kwake, roho mby mtaacha lini nyie [emoji205][emoji3][emoji3]
Anatusumbua anataka kuchezwaa naye huyuu
Na wanaume muwache kupenda umbea mmmh[emoji23][emoji23]
Endelea kupoteza mda wako basi kujadili Kenya si tukiendelea kusaka chapa[emoji12]
hapo ulipo unachat nafsi inakusuta dogo da!!unga uliokula Tz, nyanya ,vitunguu ,pengine mpaka samaki uliomla kutoka mwanza najua huwez kula matunda ila nayo ukigusa kutoka Tanga mpaka tulivyofunga cku 2 muliona kama mwezi mumeshindwa kuonesha ukomavu hata wiki tuKwanza kijijini chenu umehakikisha watu Wana mlo ama wanakula kinyesi.Niko sure ata wewe mwenyewe ni jobless goon ambaye hana kazi ni kushinda mtandao tu na kugonja buku Saba.Shika Jembe braza rudi Kijiji kalime wacha siasa ya peni mbili
Wewe ndio unauza ama??Aliekuoroga kakufa Kenya hatutegemei chakula yenu tunayo chakula ya kutosha.Nyie mnatafuta soko ya kuuza tu uku
Kiswahili chako kwanza mbovu[emoji23][emoji23]Wewe ndio unafaa kurudi shule