babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Unamuita dictator kwani kangangania madaraka?
Si alichaguliwa kwa njia ya democracy tena kwa kupigiwa kura?
Anawanyoosha kweli kweli yaani safari hii mtaita maji mma.
Si alichaguliwa kwa njia ya democracy tena kwa kupigiwa kura?
Anawanyoosha kweli kweli yaani safari hii mtaita maji mma.