Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Ndio maana nkakwambia hakuna wapo wengi ila wakawaida tu saizi ya reizer lakini wale wakutisha kama Bakhessa ,Mo hakuna ndio maana unazunguka unarudi hapo hapo . Bc ukweli ushajulikana tufunge mjadala.Wewe ndio ulileta madai yasiyo na Ukweli. Hauja yadhibitisha unaanza kuuliza maswali. The burden of proof is on your side!..
Wakenya maji yako shingoni sasa hivi hali mbaya. Utafikiri yale mapigo ya Wamisri poleni sana.Uliambiwa tulikuwa tunafunga ikae hivyo milele?, Pathetic!..
Unajua Safaricom, equity, brookeside, KBL, kcb. Hizo ni za wazungu?..Ndio maana nkakwambia hakuna wapo wengi ila wakawaida tu saizi ya reizer lakini wale wakutisha kama Bakhessa ,Mo hakuna ndio maana unazunguka unarudi hapo hapo . Bc ukweli ushajulikana tufunge mjadala
Halafu hizi ni asilimia ngapi ya kampuni zilizo Kenya?Wacha maneno, ninyi ndio mnajisifu kwamba International co. Zimejaa hapo Nairobi, Kumbuka kwamba Cocacola pekee ni sawa na makampuni 50 ya wakenya wa kawaida. Mashamba ya chai, mashamba ya mananasi ya Del motte, mashamba ya Maua, karibu asilimia kubwa ni wazungu.
Hatuzungumzii % interms of number, tunazungumzia interms of capital invested. Makampuni ya kigeni na yale ambayo wageni wanamiliki shares hapo Kenya ni zaidi ya 60% ya invested capital ya makampuni yote hapo Kenya.Halafu hizi ni asilimia ngapi ya kampuni zilizo Kenya?..
Kutoa percentages bila genuine info as back up ni zero work!Hatuzungumzii % interms of number, tunazungumzia interms of capital invested. Makampuni ya kigeni na yale ambayo wageni wanamiliki shares hapo Kenya ni zaidi ya 60% ya invested capital ya makampuni yote hapo Kenya.
Mngekuwa huru hamngechukua mikopo kwa mabeberu.Puppet hana guts za kumkoromoe Master wake, Kenyans you have proved beyond doubt that freedom of choice is yet to be obliged to you, still searching for independence.
Evidence?Hatuzungumzii % interms of number, tunazungumzia interms of capital invested. Makampuni ya kigeni na yale ambayo wageni wanamiliki shares hapo Kenya ni zaidi ya 60% ya invested capital ya makampuni yote hapo Kenya.
Wewe tuambie kampuni za wakenya hapo Kenya ni asilimia ngapi vs kampuni za wazungu?Kutoa percentages bila genuine info as back up ni zero work!
Onyesheni kampuni za wakenya 100% zenye kuongoza hapo Kenya kubwa kama ilivyo MTL ya Mo: Azam(Bakhressa), IPP( Reginald Mengi), ambao wote hawa ni watanzania 100%, hamna hata "share" moja ya MuzunguEvidence?
Uliza mwenzako hapo mwenye alisema za wazungu ni mingi na kuzitaja imekuwa mtihani!Wewe tuambie kampuni za wakenya hapo Kenya ni asilimia ngapi vs kampuni za wazungu?
Tena wameanza kuweweseka kusikia Tanzania imeingia uchumi wa kati wakati wao walipojifungia ndani ili kuwafurahisha wazungu.Wakenya maji yako shingoni sasa hivi hali mbaya. Utafikiri yale mapigo ya Wamisri poleni sana.
Ahaa sasa nami uoni nimejifunza kitu, kumbe Safaricom kampuni ya Mkenya ee? Ya Mkenya au kuna mkenya ana kipande cha hisa.U
Unajua Safaricom, equity, brookeside, KBL, KCB. Hizo ni za wazungu?..
Yes the biggest shareholder and supported by Kenya no dependency from outsideAhaa sasa nami uoni nimejifunza kitu, kumbe Safaricom kampuni ya Mkenya ee? Ya Mkenya au kuna mkenya ana kipande cha hisa.
Ushahidi?Onyesheni kampuni za wakenya 100% zenye kuongoza hapo Kenya kubwa kama ilivyo MTL ya Mo: Azam(Bakhressa), IPP( Reginald Mengi), ambao wote hawa ni watanzania 100%, hamna hata "share" moja ya Muzungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongereni Wakenya, maambukizi yamepungua kabisa sasa na ndio mnafungua nchi yenyu.