Tatizo wengi wapo CCMWasanii wa Tanzania ni Mabumunda au Makande yaani akili zao kisoda usanii wenyewe wanaoufanya siioni faida
Sent from my iPhone using JamiiForums
still FA ni moja ya mbongo flava mwenye akili timamu anajielewa sana kuliko wasanii wengi
kwenye list ya kujielewa ni FA, AY, Prof nk
Sent using Jamii Forums mobile app
wanamajina tu ila hawana hela,umaarufu na pesa ni vitu viwili tofauti,wakienda kuzikwa kwao ndo utajua wanahali gani za kiuchumi ni makabwela kama mm tu,
Sent using Jamii Forums mobile app
shetta nae ni kitengo au ?Kuna watu wamepata bahati sana,lakini vichwa vitupu.Moja wao ni FA na yule dogo Shetta..Wazee wa Kazi wanawabeba sana
Sent using Jamii Forums mobile app
MWANA FA ni kichaa, kujua mahesabu si kujua maisha, huyu hajielewi na leo UMMY AWAAMBIE HAO WASANII WATOE MAPICHA YAO YA UPOTOFU, eti watu wavae mask wakati hawaumwi, shithole musicians
Watakuwa na hela baada ya kampeni.
Kama Dr. Kigwangala aliwaona wa maana, wewe ni uwakosoe?