Corona; Watu 84 kutoka Afrika Kusini kuja Tanzania, wazuiliwa mpakani na kuwekwa chini ya karantini kwa siku 14


Nimependa hatua zinazochukuliwa mipakani
Tanzania na Burundi zilizoamua kudhibiti watu wanaoingia nchini mwao, zinaonyesha mafanikio makubwa sana katika kudhibiti maambukizi katika hatua za awali kabisa, tukiendelea hivi baada ya mwezi mmoja toka sasa tunaweza tusiwe na mtu hata mmoja mwenye maambukizi, bila kuzuia watu kufanya shughuli zao au kupoteza gharama kubwa katika upimaji wa watu wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nimeiona kigoma wao sio tu unatoka inchi jirani hata kama unatoka mkoa mwingine,tulikuta beria tukashushwa wote tukapimwa bahati wote tukawa safi,ila tukahimizwa sana kufuata maelekezo ya serikali.
 
Hii nimeiona kigoma wao sio tu unatoka inchi jirani hata kama unatoka mkoa mwingine,tulikuta beria tukashushwa wote tukapimwa bahati wote tukawa safi,ila tukahimizwa sana kufuata maelekezo ya serikali.
Mimi huwa ninawashangaa sana wakenya, zaidi ya kupima na kutangaza matokeo kila siku, sioni hatua zozote za dhati zinazochukuliwa na serikali yao katika kupunguza maambukizi. Hivi kwanini hadi sasa watu wanaruhusiwa kuingia na kutoka Nairobi?, kwa idadi ya maambukizi yalivyo, Nairobi ilitakiwa sasa hivi iwe imejitenga na mikoa mingine yote kwa kuanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Now where are Kenyans involved from the Title of Your thread.?
 
Nimependa sana huu ushirikiano wa Tanzania na Burundi kwenye kukabiliana na Corona, Burundi imefunga uingiaji ya magari yote ya mizigo na abiria kuingia Burundi isipokua ya Tanzania tu, sababu Tanzania ndio inailisha sasa ukisema sisi tuende total shutdown unaweza kuona nchi zitakavyoteseka


 
Upulizaji wa dawa katika jiji la Dar es Salaam, ni miongoni mwa sababu kubwa sana inayopunguza virusi kuenea. Familia zote zenye ndugu waliogundulika na virusi vya Corona, nyumba na makazi yao hupuliziwa dawa kila baada ya siku mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…