joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hii ndio siri kubwa ya mafanikio ya Tanzania kupunguza kasi ya maambukizi, kuwa makini katika kudhibiti watu wanaoingia nchini kwa kuwaweka chini ya karantini, kufuatilia 'contacts' kwa umakini mkubwa za wote watakaogundulika na maambukizi.
Tanzania hoyeeee
Sent using Jamii Forums mobile app