Corona: Wazee na wenye magonjwa mengine tupaze sauti

Katika mikusanyiko kama hiyo vaa angalau barakoa ili kujilinda, ukivaa barakoa nani atakukamata???!
Barako ya kibongo ukivaa wewe mwenzio asipovaa akiwa nao anakuambukiza au hujui hilo?
 
Acha uongo wewe hata wazungu walisubiri tamko la serikali zao ndo wakapata miongozo serikali ikawa inatoa elimu kwa wananchi wake.. wewe mwenyewe usingejua umuhimu na mbinu bila serikali za kizungu kufanya campain za kuelimisha
 
Mi nakushauri wwe beba wapendwa wako mkaishi huko unakoona Serekali zao zinachukua hatua sahihii kwenye ugonjwa wa Corona,msije mkafa bure alafu mkailaumu Serekali ya Magufuli bure!!
Wewe serikali ikitoa tamko unachoumia nini wewe barakoa ungezijua bila serikali za hao waliofuata hatua stahiki yani unakaa unaumia mwenzio anavotoa wazo ambalo ni zuri kwa kipi au serikali ni ya babako wewe..unataka Mtanzania asilindwe na serikali yake una akili kweli wewe? Unajua kazi ya serikali kwa raia wake boya wewe?
 
Haka kajamaa toka corona inaanza kila uzi ni hilo tu!

Hebu fikiria tangu april mwaka jana kanaongela corona tu.

Sasa anataka sijui wakipaza sauti corona ndio inaondoka?

Tatizo watu kama hawa tukiwaita wapumbavu mods wanakimbilia kitufe cha ban
Sas we inakuuma nini wewe ndo serikali au ukoo wako ndo serikali
 
Sasa unataka ufanyiwe nini? Au ndo unataka tukubali chanjo wa majaribio? Huoni huko walikochanjwa wanavyopukutika!? Kifupi covid-19 ni ugonjwa ambao mpaka sasa hauna tiba! Hata chanjo zilizopo sasa duniani hazijaonyesha uwezo wake hata tu wa kuzuia maambukizi! Kilichopo ni matangazo ya biashara!
Ushauri: Kama unapenda kuishi kiasi hicho, basi fuata maelekezo hayo uliyoyataja mwenyewe, na pia mkaribie zaidi Mungu kwa sala na dua!
Pia Muamini Mungu, maana kanachoua siyo covid-19 tu, bali yapo ma akina malaria, ajari, kipigwa roba, kufumaniwa, utamu uliozidi kwenye yale mambo yetu ya kiutu uzima hasa mzee ukijichanganya na damu changa😜! Nk, nk!
"Bwana asipo ulinda mji, yeye alindaye akesha bure!"
 
Hivi unadhani hautafariki, au?
Ndo swali gani hilo?hospitali zimeletwa za nini unaend hospitali kufanya nini? Unakunywa dawa za nini kwanini hutembei kati kati ya barabara za mwendo kasi kwanini haujitupi baharini..kwann unakula chakula kisafi?
 
Swala la kujilinda linaanza na wwe mwenyewe,mbona Binaadamu nyie ni wagumu sana kuelewa! Naona hata huko kwa michepuko yako Serekali ndiyo inakulinda!!
 
Naomba nikuulize swali! Are you working for billgate foundation!?
 
Hakuna ujinga hapo watu ukweli unabaki pale pale serikali inatakiwa ifanye kazi..


Serikali inafanya kazi kwa kusema kwamba Tz hakuna CORONA, wewe unataka ifanye kazi gani wakati inadai CORONA hakuna!!!
 
Barako ya kibongo ukivaa wewe mwenzio asipovaa akiwa nao anakuambukiza au hujui hilo?


Sasa tufanyeje mkuu???, wewe unalalamika tu bila kutoa ushauri, Serikali ndo imeshasema Tz hakuna CORONA, sisi tunaona CORONA ipo sasa sisi tunaoiona hiyo Corona walau tufanyeje ???-- tukae tu kusubiri kifo???!!
 
Acha uongo wewe hata wazungu walisubiri tamko la serikali zao ndo wakapata miongozo serikali ikawa inatoa elimu kwa wananchi wake..


Acha upuuzi wewe, unataka muongozo gani kutoka serikalini???--- Muongozo wa serikali ni huu; "TZ hakuna CORONA".

au wewe sio Mtz???
 
Mkuu as long as siku yako imefika utakufa tu.
 
Mkuu as long as siku yako imefika utakufa tu.

Kwanini hupendekezi kufunga hospitali zote tu. Kwa sababu siku yako ikifika si utakuwa tu?

Au haya ya siku ni kwa Corona tu?

Really?
 
Heko mama Samia kwa kukitambua na kukifanyia kazi kilio cha wahanga hawa.

Inapenda kuwa tume ya Corona i njiani kukuletea ripoti kamili ya kuwa tunatoka vipi.

Hakika wewe ni chaguo la Mungu maisha ya watu ni kipaumbele chako. Ushirikina shirikina tupa kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…