Corona: Wazee na wenye magonjwa mengine tupaze sauti

Corona: Wazee na wenye magonjwa mengine tupaze sauti

Juzi kati hapa kuna nchi zimesitisha hzo chanjo , hata kabla wa tz hatujazitumia we huoni kuwa serikali ytu nimakini?
Siri ya mafanikio ni KUFUATA MAELEKEZO ! Fata maelekezo ya serikali iliyoyatoa km nichanjo hata mm siungi mkono hoja kuletwa chanjo .
1.fanya mazoezi
2.piga nyungu
3. Pilipili kichaa , tangawizi,k.swaumu , kimau nk. Pendelea kuvitumia sn.
4.gonga K.vant hata kifuniko kimoja kila siku unapotaka kulala maana ni alcohol 100% nasiyo zambi kwa watu wadini maana imeruhusiwa kutumia kwa magonjwa yakupatayo , soma kitabu cha 1petro.
Kama wewe ni miongoni mwa makundi uliyoyataja yaani wewe ni mzee au ni mgonjwa hapo sasa tafta mbinu zko mbadara maana kweli km ww ni mzee hafu ulishanasa!!! Na uko week, Duh...! mazoezi kweli nakula v2 vikalivikali + k.vant hapo tutakuwahisha brother .pole. ila chancho NO. No!!
Nimekubaliana na wewe,ila kuna wapuuzi wanaigeuza Corona kupata umaarufu wa kisiasa.

Corona imeanza kuwa kali zaidi baada ya hizi chanjo kutumika,mpaka sasa tuna type 3 mpya za Corona (kutoka Brazil,SA na UK) na mpaka sasa haijulikani chanjo ipi inatibu tatizo lipi na hizi type mpya zina nguvu na kusambaa kwa haraka kuliko kile kirusi cha kwanza kutoka Wuhan.

Kilichobakia sasa hivi makamouni ya amadawa yanacheza kamari na afya watu,UK wana chanjo lkn ukitizama Worldometer vifo vimeongezeka,US sasa hivi vivyo vinagonga mpaka 4k pamoja na chanjo zao mpya hizi walizo anza kuzitumia.

Cha msingi kwenye swala la chanjo twende polepole,jilizishe kwa kuzipima hizi chanjo.
 
Sauti tumpazie nani? Mzee wa kuwatoa watu majalalani anaona vifo vyenu havimuhusu.

Mkuu bujibuji heshima kwako.

Huyu jamaa kaamua kunitanguliza akhera kwa nguvu na bila ya uhalali wowote. Huyu own my or with my associates ninalala naye mbere!

Kuishi ni haki yangu. Madhali anachukua kodi yangu ninamdai kuwajibika. Short of that nisimwone yeye au kibaraka wake kafuata kodi!

Kwenye hili wala sihitaji alliance.

Hii ndiyo sauti atakayoielewa sasa mkoloni mweusi.

Inatosha! Sasa basi!
 
Wewe nimeshakwambia ni MPUMBAVU asubuhi mchana na usiku unawaza Corona tu. Dunia nzima inaangaika na Corona ingia kwenye website za nje uangalie kinachoendelea. Masaa 24 unalalamika tu kama mwanamke mwenye mimba unataka serikali ikufanyeje!?

Kama umeshajua Kuna Corona fuata taratibu jikinge sio unakaa unalialia tu kama ma.laya aliyetapeliwa. Unaboa sana kulalamika hovyo tu masaa yote. Kama unafikiri kulalamika Jamii Forums 24/7 kutakusaidia lolote endelea tu. Ila unapoteza muda wako tu.
Sasa mbona unamtukana??, Kwani amekukosea nini?.Ungetumia lugha nyepesi si angekuelewa tu?.Afya njema isikupe jeuri,lolote laweza kutokea MUNGU anakuona,hata wengine waliondoka kwa jeuri km ya kwako hivyo hivyo.
 
Sasa mbona unamtukana??, Kwani amekukosea nini?.Ungetumia lugha nyepesi si angekuelewa tu?.Afya njema isikupe jeuri,lolote laweza kutokea MUNGU anakuona,hata wengine waliondoka kwa jeuri km ya kwako hivyo hivyo.

Hiyo ni dalili ya kutokuwa na hoja.

Nguvu ya hoja ikiwashinda tegemea matusi uchwara kama hayo.

Wanadhani watatunyamazisha kwa matusi.

Haki yetu ya kuishi hatuta msabiria mtu hata awe na mapembe.
 
Acha kujitia ujuaji wakati mwenye akili za ng'ombe ni wewe! Hivi katika mazingira haya ng'ombe wewe, walio hatarini wajiepushe vipi?

View attachment 1702718View attachment 1702718

Mbona ng'ombe nyie mnajidhania mna akili mno kuliko hata binadamu wenye kujitambua?

Kama nyie hamko kwenye makundi haya hatarini kwanini mnataka kutusemea sisi?

Kwanini hamtaki kutuelewa?

Tunayo haki yetu ya kuishi ambayo tafadhalini hatuhitaji michango yenu hata ya mawazo kama nia yenu ni kuona tunaangamia tu.
Si umeshaambiwa unywe juice ya limao? Tangu umeamka leo, je umeshakunywa walau glass moja ya juice ya limao?
 
Hivi unadhani hautafariki, au?

Hivi unafuatilia uliyoandika hadi sasa?
Hayo mapambano ya wengi bado hayajapata BARAKA kutoka juu!;, je tukae tu?? au tuendelee kuomba hizo baraka hadi lini??--- hiyo ni sawa na kumpigia gitaa beberu.

Shida Watz ni mazwazwa, hatuna hamasa, hatujitambui na tumejaa ujinga na woga, wewe unadhani kama kila mtu mmoja mmoja tukiamua kuvaa barakoa nk, nani atatuzuia??!---- tatizo ni Watz na sio Serikali.

Hivi jombi unasema je kama madereva wengine wakiamua kuendeshea magari to kulia kwa matashi yao tu?

Watu wengine wakaamua kupora wengine au hata kubaka wengine au hata kujifanyia watakavyo ali mradi kubugudhi wengine?

Tunamwachia Mungu au tunabaki kulia lia kama ulivyoandika?

Kwani kazi ya serikali ni nini?

Kama serikali haitaki kufanya wajibu wake tunawalaumu watz labda hata wasiokuwa na elimu?

Huyu serikali kazi yake nini? Kukusanya kodi tu?
 
Mkuu, kuchukua hatua mtu mmoja mmoja tatizo lake ni kuwa ugonjwa wa kupumua utapanua wigo na utaweka kambi ya kudumu nchini.

Kukiwa na mapambano ya wengi dhidi ya huo ugonjwa, utatokomezwa fasta

Mkuu akikuelewa unistue. Tatizo letu ni sawa na la manyani na mak*ndu yao.

Kila mtu mjinga isipokuwa yeye.

Hajasoma kote tayari ana comments za kumwaga.

Ajabu na kweli aweza hata na kutoa ushauri from nowhere!
 
Hivi unafuatilia uliyoandika hadi sasa?


Hivi jombi unasema je kama madereva wengine wakiamua kuendeshea magari to kulia kwa matashi yao tu?

Watu wengine wakaamua kupora wengine au hata kubaka wengine au hata kujifanyia watakavyo ali mradi kubugudhi wengine?

Tunamwachia Mungu au tunabaki kulia lia kama ulivyoandika?

Kwani kazi ya serikali ni nini?

Kama serikali haitaki kufanya wajibu wake tunawalaumu watz labda hata wasiokuwa na elimu?

Huyu serikali kazi yake nini? Kukusanya kodi tu?


Mtu Kuvaa nguo hadi aambiwe na serikali???

Mtu kutundika net ya mbu hadi serikali iimpe amri au muongozo??

Kila kitu serikali!!!, basi hata mahusiano ya chumbani baina ya mke na mume serikalii itahusika!!.

Kuvaa barakoa ni sawa na kuvaa kofia au shati, kunawa mikono ni sawa na kuoga au kunawa uso nk, hayo yote ni mambo ya kibinafsi zaidi sio lazima serikali iseme kwamba kuvaa barakoa, kuoga nk, ni kwa ajili ya afya yako nk, ni lazima tujitambue mtu asiyejitambua huyo bado ni mjinga na taifa likiwa na wajinga wengi wa aina hiyo hilo ni Failed state.
 
Mtu Kuvaa nguo hadi aambiwe na serikali???

Mtu kutundika net ya mbu hadi serikali iimpe amri au muongozo??

Kila kitu serikali!!!, basi hata mahusiano ya chumbani baina ya mke na mume serikalii itahusika!!.

Kuvaa barakoa ni sawa na kuvaa kofia au shati, kunawa mikono ni sawa na kuoga au kunawa uso nk, hayo yote ni mambo ya kibinafsi zaidi sio lazima serikali iseme kwamba kuvaa barakoa, kuoga nk, ni kwa ajili ya afya yako nk, ni lazima tujitambue mtu asiyejitambua huyo bado ni mjinga na taifa likiwa na wajinga wengi wa aina hiyo hilo ni Failed state.

Haya nayo hudhani kuwa serikali inawajibika?

IMG_20210214_214251_251.jpg

Vipi upatikanaji wa chanjo ambazo zipo na zimethibitishwa ubora wake?

Hudhani hayo yanamhitaji huyu serikali aliyekwisha chukua kodi zetu?
 
Haya nayo hudhani kuwa serikali inawajibika?

View attachment 1703009View attachment 1703009View attachment 1703009

View attachment 1703009View attachment 1703009View attachment 1703009
Vipi upatikanaji.wa chanjo ambazo zipo na zimethibitishwa ubora wake?

Hudhani hayo yanamhitaji huyu serikali aliyekwisha chukua kodi zetu?


Mimi sipingi na wala sikatai wajibu wa serikali kwa raia wake, kinachonishangaza ni; hata kuvaa barakoa, kunawa sanitazer na kunawa watu hatufanyi kabisa ilhali tunajua na tumeshuhudia watu wakifa kwa Corona!!!, kipindi hiki ambapo chanjo ni contraversal basi walau tuzingatie tahahadhari za awali za kujikinga badala ya kuendelea kuilaumu serikali.
 
Mabibi na mabwana hali inaendelea kuwa si hali. Sisi tulio hatarini sauti zetu lazima zisikike. Kwa mwelekeo uliopo ndiyo tumeshatolewa kafara hivyo.

Jana tumemzika kigogo wa BOT (Joachim Sayi Nsunga) RIP, huko Dutwa Bariadi, Simiyu. Huyu bwana alikuwa mhasibu mkuu BOT makao makuu, Dodoma.

Amefariki juzi pale Benjamin Mkapa. Hakuwa mtu mdogo kwani angalau aliweza kutumia ventilator.

Pana mwelekeo kabambe wa kudhibiti taarifa za vifo. Kuzifanya taarifa za vifo vya vigogo kuwa ni nyara za serikali.

Wazee na wenye magonjwa mengine, sisi pia kama walipa kodi ni muhimu sana tukapaza sauti zetu vilivyo. Hatustahili kutelekezewa janga. Tunayo haki ya kuishi kama ilivyo kwa watu wengine.

Sisi tunalipa kodi na wengine wetu tumelipa sana kodi labda kuliko hata hawa ambao leo wanawashwa sana na pilipili wasizo zila kutusemea sisi.

Propaganda za vijiweni kuwa ugonjwa huu hauuwi ila hofu. Ugonjwa huu tiba yake ni mazoezi. Ugonjwa huu tiba yake ni lishe, malimao na tangawizi. Ugonjwa huu tiba yake ni nyungu n.k.

Yote hayo tokea vijiweni hayatusaidii sisi tulio wahanga zaidi.

Wito kwa serikali:

"Sisi tulio wahanga wa kesho wa ugonjwa huu tunaidai haki yetu ya kuishi. Tunawaona wenzetu wanavyopukutika. Kama mnatu 'kana' tukiwa hai, nasi tuta 'wakana' ninyi tukiwa hai."

Tafadhalini sana waachieni wataalamu wa afya kushika hatamu za uongozi wa vita dhidi ya ugonjwa huu. Kwanini ombi hili ni kubwa mno kwenu?

Hadi tufe wangapi?

Kwanini nyie msiokuwa katika hatari ya ugonjwa huu mmekuwa sana wa kutusemea, hali kufa twafa sisi?

Mara ooh mliona mwana michezo kafa kwa Corona? Jibu ni kuwa hatujui. Kwani hazipo takwimu hizo kama ambavyo hatujui pia hata kama kuna machangudoa wamekufa kwa Corona.

Hivyo pia hatuwezi kusema kuwa uchangudoa ni kinga ya Corona.

Hivi ni wapi palipo na wana michezo wazee au wenye magonjwa mengine? Mbona kuchezana shere hivi?

Hebu tusitoane kafara mchana kweupe namna hii.

Ninawasilisha.
Mzee mwenzangu wajibu na jukumu la kujilinda dhidi ya majanga na maradhi ni lako binafsi. Chukua hatua stahiki kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu wa afya.

Hata kama unataka kuji'lock down' unaruhusiwa, hakuna atakayekuzuia. Kujuzwa takwimu za nani leo kaugua nini, na akina nani wamefariki, hazitakusaidia kama mwenyewe huchukui tahadhari za kitabibu!
Kumbuka hata huko 'walikoendelea' licha cha utajiri wao, lakini mamia na maelfu wanazidi kupukutika kila siku, na idadi wanayoitangaza, sio lazime ishabihiane na hali halisi ilivyo, kwani kila taifa ni 'sensitive' katika kuhabarisha watu wake ili kupunguza taharuki.
 
Hiyo ni dalili ya kutokuwa na hoja.

Nguvu ya hoja ikiwashinda tegemea matusi uchwara kama hayo.

Wanadhani watatunyamazisha kwa matusi.

Haki yetu ya kuishi hatuta msabiria mtu hata awe na mapembe.
Kweli Ndugu, yaani silaha ya hawa watu ni matusi na jazba.Utadhani wao haiwahusu.Lkn ipo Siku.
 
Hivi huwa mnakaa mnaota ndoto kama misukule tu?

Hivi kama huna lolote unalojua kuhusu mada ustaarabu si kuuchuna tu na hakuna atakayejua u mburula kiasi gani?

Hiyo lockdown umeyaona wapi kwenye mada? Au wewe ni nabii Tito?

Ama kweli ujinga mzigo kama wa kuni nao hubebwa kichwani.
Tatizo lako kubwa ni kwamba wwe unataka Magufuli afanye nini kwenye swala la Corana!? Ebu tuweke wazi!!
 
Mzee mwenzangu wajibu na jukumu la kujilinda dhidi ya majanga na maradhi ni lako binafsi. Chukua hatua stahiki kwa mujibu wa maelekezo ya wataalamu wa afya.

Hata kama unataka kuji'lock down' unaruhusiwa, hakuna atakayekuzuia. Kujuzwa takwimu za nani leo kaugua nini, na akina nani wamefariki, hazitakusaidia kama mwenyewe huchukui tahadhari za kitabibu!
Kumbuka hata huko 'walikoendelea' licha cha utajiri wao, lakini mamia na maelfu wanazidi kupukutika kila siku, na idadi wanayoitangaza, sio lazime ishabihiane na hali halisi ilivyo, kwani kila taifa ni 'sensitive' katika kuhabarisha watu wake ili kupunguza taharuki.

Umeona wapi kwenye bandiko hili takwa la takwimu?

Mbona mnakuwa mnarukia rukia mambo yasiyokuwamo kwenye mada?

Ina maana na takwimu nazo mnaficha ili ugonjwa uishe?

Tukiacha kuwasifu kuwa kwa ujinga nako mmekubuu si tutakuwa hatuwatendei haki?
 
Tatizo lako kubwa ni kwamba wwe unataka Magufuli afanye nini kwenye swala la Corana!? Ebu tuweke wazi!!

Nimeandika kwenye uzi jombi. Unataka niandike na kukusomea pia?

Hivi mna comment vipi bila kusoma?

Au nyie ni ma kina nabii Tito?
 
Mimi sipingi na wala sikatai wajibu wa serikali kwa raia wake, kinachonishangaza ni; hata kuvaa barakoa, kunawa sanitazer na kunawa watu hatufanyi kabisa ilhali tunajua na tumeshuhudia watu wakifa kwa Corona!!!, kipindi hiki ambapo chanjo ni contraversal basi walau tuzingatie tahahadhari za awali za kujikinga badala ya kuendelea kuilaumu serikali.

Pamoja na kuwa kwingine kote serikali zina enforce mabarakoa na ma sanitizer, ambapo adhabu hata faini zinawahusu wakaidi, tunachoitaka serikali hii kama wastaarabu ni hiki hapa tu:

IMG_20210214_214251_251.jpg


Ninapoongezewa mzigo wa kodi na kunilazimisha kwenda kuhangaika. Ninalindwa vipi na serikali mnufaika wa kodi yangu.

Hii serikali mwongeza kodi ndani ya janga hili anakujali kokote kuwa kuna janga?

Tuongee hayo tuachane na vihoja vya kindergarten jombi.
 
Aisee !!!
Kweli mabeberu walikaa na wakafikiri mpaka wakaja na neno THIRD WORLD
 
Back
Top Bottom