Corona: Wazee na wenye magonjwa mengine tupaze sauti

Corona: Wazee na wenye magonjwa mengine tupaze sauti

Aisee !!!
Kweli mabeberu walikaa na wakafikiri mpaka wakaja na neno THIRD WORLD

Ila usisahau Tanzania is a unique case.

Msimamo wa Tanzania si wa third world countries.

Ukisema hivyo utakuwa hujawatendea haki wote wengine.

Uuonao huu ni msimamo wa jiwe na genge lake. Ambao kwa o Tanzania ni makao makuu ya Mungu!
 
Pole Sana Mzee.

Ni kwamba Corona sasa hivi sio ugonjwa wa mlipuko tena.

Maana sifa moja wapo ya ugonjwa wa mlipuko ni kuja na kupotea.kama kipindu pindu na ebola.

Hii Ngoma imeshakuwa ni MKAZI WA KUDUMU.[emoji16][emoji16][emoji16].

Anza kufanya mema.maana haitakuacha
Dah ushauri mwingine mmh, hata mgonjwa unaweza kummalizia aisee.
 
Acha kujitia ujuaji wakati mwenye akili za ng'ombe ni wewe! Hivi katika mazingira haya ng'ombe wewe, walio hatarini wajiepushe vipi?

View attachment 1702718View attachment 1702718

Mbona ng'ombe nyie mnajidhania mna akili mno kuliko hata binadamu wenye kujitambua?

Kama nyie hamko kwenye makundi haya hatarini kwanini mnataka kutusemea sisi?

Kwanini hamtaki kutuelewa?

Tunayo haki yetu ya kuishi ambayo tafadhalini hatuhitaji michango yenu hata ya mawazo kama nia yenu ni kuona tunaangamia tu.
Wewe unatakaje!
Umeambiwa tulia na familia yako mkuu.
 
Ila usisahau Tanzania is a unique case.

Msimamo wa Tanzania si wa third world countries.

Ukisema hivyo utakuwa hujawatendea haki wote wengine.

Uuonao huu ni msimamo wa jiwe na genge lake. Ambao kwa o Tanzania ni makao makuu ya Mungu!
Nimekuelewa sana Mkuu

Nimesema hivyo ni kutokana na reasoning capacity ya akili za wachangiaji
Na sasa huu ujinga wa unachochewa na huyo Kenge mkuu wa nchi,

Nadhani amejistukia lakini hataki kula matapishi yake katika huu ujinga wake anaoita vita na mabeberu
Na sasa wananchi ndio wamekuwa collateral damage
 
Nimekuelewa sana Mkuu

Nimesema hivyo ni kutokana na reasoning capacity ya akili za wachangiaji
Na sasa huu ujinga wa unachochewa na huyo Kenge mkuu wa nchi,

Nadhani amejistukia lakini hataki kula matapishi yake katika huu ujinga wake anaoita vita na mabeberu
Na sasa wananchi ndio wamekuwa collateral damage

Huyo na hata wachangiaji uchwara unaowaona kumbuka pia wana elimu za kuunga unga mno. Tofautisha sana wote na hawa wa Lumumba university.

Wachangiaji nao ni another unique case tena, kwa Tanzania. Tofauti mno na wote hata katika nchi zilizotuzunguka.

Kwetu kila mwenye mdomo anabwabwaja tu. Kumbuka hata kuku, hata, kenge nk wana midomo!

,😂😂😂😂😂
 
Mkuu jilock down mwenyewe usisubiri selikari.

Asante kwa ushauri. Ninapunguza harakati zangu nje kuyajibu haya kikamilifu:

IMG_20210214_214251_251.jpg


Ninanoa panga langu.

Ole wake nimsikie kikaragosi kafuata kodi ya kaisari.

Si kaisari kanitekeleza, nimeshindwa kwenda kutafuta riziki. Pia nimeshindwa kwenda kutafuta kodi.

Huo ndiyo ukweli wenyewe.

Watajiju kama ambavyo wamenitaka wao mimi kujiju!
 
Mabibi na mabwana hali inaendelea kuwa si hali. Sisi tulio hatarini sauti zetu lazima zisikike. Kwa mwelekeo uliopo ndiyo tumeshatolewa kafara hivyo.

Jana tumemzika kigogo wa BOT (Joachim Sayi Nsunga) RIP, huko Dutwa Bariadi, Simiyu. Huyu bwana alikuwa mhasibu mkuu BOT makao makuu, Dodoma.

Amefariki juzi pale Benjamin Mkapa. Hakuwa mtu mdogo kwani angalau aliweza kutumia ventilator.

Pana mwelekeo kabambe wa kudhibiti taarifa za vifo. Kuzifanya taarifa za vifo vya vigogo kuwa ni nyara za serikali.

Wazee na wenye magonjwa mengine, sisi pia kama walipa kodi ni muhimu sana tukapaza sauti zetu vilivyo. Hatustahili kutelekezewa janga. Tunayo haki ya kuishi kama ilivyo kwa watu wengine.

Sisi tunalipa kodi na wengine wetu tumelipa sana kodi labda kuliko hata hawa ambao leo wanawashwa sana na pilipili wasizo zila kutusemea sisi.

Propaganda za vijiweni kuwa ugonjwa huu hauuwi ila hofu. Ugonjwa huu tiba yake ni mazoezi. Ugonjwa huu tiba yake ni lishe, malimao na tangawizi. Ugonjwa huu tiba yake ni nyungu n.k.

Yote hayo tokea vijiweni hayatusaidii sisi tulio wahanga zaidi.

Wito kwa serikali:

"Sisi tulio wahanga wa kesho wa ugonjwa huu tunaidai haki yetu ya kuishi. Tunawaona wenzetu wanavyopukutika. Kama mnatu 'kana' tukiwa hai, nasi tuta 'wakana' ninyi tukiwa hai."

Tafadhalini sana waachieni wataalamu wa afya kushika hatamu za uongozi wa vita dhidi ya ugonjwa huu. Kwanini ombi hili ni kubwa mno kwenu?

Hadi tufe wangapi?

Kwanini nyie msiokuwa katika hatari ya ugonjwa huu mmekuwa sana wa kutusemea, hali kufa twafa sisi?

Mara ooh mliona mwana michezo kafa kwa Corona? Jibu ni kuwa hatujui. Kwani hazipo takwimu hizo kama ambavyo hatujui pia hata kama kuna machangudoa wamekufa kwa Corona.

Hivyo pia hatuwezi kusema kuwa uchangudoa ni kinga ya Corona.

Hivi ni wapi palipo na wana michezo wazee au wenye magonjwa mengine? Mbona kuchezana shere hivi?

Hebu tusitoane kafara mchana kweupe namna hii.

Ninawasilisha.
Rock down tuu ndo hatari,Ila Corona Ni ugonjwa hatari sana
 
Pamoja na kuwa kwingine kote serikali zina enforce mabarakoa na ma sanitizer, ambapo adhabu hata faini zinawahusu wakaidi, tunachoitaka serikali hii kama wastaarabu ni hiki hapa tu:

View attachment 1703360

Ninapoongezewa mzigo wa kodi na kunilazimisha kwenda kuhangaika. Ninalindwa vipi na serikali mnufaika wa kodi yangu.

Hii serikali mwongeza kodi ndani ya janga hili anakujali kokote kuwa kuna janga?

Tuongee hayo tuachane na vihoja vya kindergarten jombi.


Mkuu inaonekana hunielewi ninachosema, narudia kusema hivi; kuendelea kuilaumu serikali hii inaposhindwa kutekeleza wajibu wake kwa raia walioipa dhamana kuwatumikia ni sawa na kazi bure, serikali iliisha kataa lockdown kipindi karibu dunia yote ikiweka lockdown (japo partial lockdown), kipindi hiki kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza serikali haitaki hata mtu atangaze kwamba Tz kuna Corona ila ipo Pneumonia sembuse kuchukua za kujilinda na Corona??!!---- yaani the "big boss" anasema; Corona hakuna, kama hakuna Corona how can he enforce an order for Corona that he claims doesn't exist??!!.

Ndiyo maana nikasema katika kipindi hichi cha vita ambapo serikali haitaki kutekeleza wajibu wake kila mtu achukue hatua individually kuanzia katika level ya nyumbani hadi nje ya nyumba; hakikisha nyumbani kwako watoto wananawa maji tiririka, mnatumia senitizer, angalau mnajifukiza na kutumia chai za tangawizi nk, unapotoka nje kutafuta riziki kwa ajili Mahitaji na kulipa kodi lukuki za serikali Vaa barakoa, tembea na sanitizer mara unapotoka katika mihangaiko unajipakaza senitizer mikononi, yaani tufanye ule utaratbu kama ilivyokuwa katika awamu ya Outbreak ya kwanza ya Corona ambapo tulijifunza namna ya kujilinda na Corona au tumeisha sahau??!!.

Huu sio wakati wa kulaumu serikali ni wakati wa kuhamashishana kutekeleza yale yote tunaweza kufanya kama raia tunojitambua kwani Governments Come and go but people remain, we have to take the required steps to remain alive as lives ought to continue.
 
Mkuu inaonekana hunielewi ninachosema, narudia kusema hivi; kuendelea kuilaumu serikali hii inaposhindwa kutekeleza wajibu wake kwa raia walioipa dhamana kuwatumikia ni sawa na kazi bure, serikali iliisha kataa lockdown kipindi karibu dunia yote ikiweka lockdown (japo partial lockdown), kipindi hiki kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza serikali haitaki hata mtu atangaze kwamba Tz kuna Corona ila ipo Pneumonia sembuse kuchukua za kujilinda na Corona??!!---- yaani the "big boss" anasema; Corona hakuna, kama hakuna Corona how can you enforce an order for Corona that claimed doesn't exist??!!.

Ndiyo maana nikasema katika kipindi hichi cha vita ambapo serikali haitaki kutekeleza wajibu wake kila mtu achukue hatua individually kuanzia katika level ya nyumbani hadi nje ya nyumba; hakikisha nyumbani kwako watoto wananawa maji tiririka, mnatumia senitizer, angalau mnajifukiza na kutumia chai za tangawizi nk, unapotoka nje kutafuta riziki kwa ajili Mahitaji na kulipa kodi lukuki za serikali Vaa barakoa, tembea na sanitizer mara unapotoka katika mihangaiko unajipakaza senitizer mikononi, yaani tufanye ule utaratbu kama ilivyokuwa katika awamu ya Outbreak ya kwanza ya Corona ambapo tulijifunza namna ya kujilinda na Corona au tumeisha sahau??!!.

Huu sio wakati wa kulaumu serikali ni wakati wa kuhamashishana kutekeleza yale yote tunaweza kufanya kama raia tunojitambua kwani Governments Come and go but people remain, we have to take the required steps to remain alive as lives ought to continue.

Mkuu nilikiwa sijakusoma. Vitani huwapo pia "mioto rafiki" yaani "friendly fire."

Ninakushukuru sana kwa hekima yako.

Mapema nilipandisha uzi huu pia:


Hatuko wachache, tutakufa tukipigania kuishi.

United we stand!
 
Hawezi kuvaa Barakoa au kuosha mikoni eti mpaka aambiwe na Serekali! Kuna Watu Wana akili Kama za ngombe,hawezi kwenda zizini kwake hata Kama kiza kimeingi hadi achapwe mijeledi ndiyo anaongoza njia! Wanashindwa akili hata na Kuku wa kiyenyeji,akisha ona jua linaanza kuzama nae huyo hurudi zake bandani kwake hadi kesho yake alfajiri ndiyo anatoka tena.
Sasa kama hao watu wa namna hiyo bado wapo unajua basi serikali inapaswa ifanye hivo maan huwez sema m2 wa JF hapa avae barakoa lakini anapanda dala dala anajiexpose kwa watu wanaosubiri agizo la serikali hapo unaokoa nn? Serikali ikitoa tamko kila m2 atajikinga yeye na mwenzie..Usipende kuita watu ng'ombe jazba ya nini wakati watu wanaishauri serikali wajibu wake kwani we unaitetea serikali kwa lipi hapo na je una uhakika mtoa mada hajilindi?
 
Covid haikupiga kura wala haitishiki na raisi sijui serikali. Hivi ni vita vya raia mmoja mmoja. Jilinde, chukua hatua. Usisuburi serikali ambayo inaishi mazingira tofauti kabisa na wewe raia wa kawaida. By the way, inawezekana viongozi wanachukua tahadhari zote kujikinga.
Acha kujidanganya wewe huu ugonjwa ni ushirikiano wa mtu zaidi ya mmoja kwasababu we unajilinda lakini kama mwenzio hajilindi hamna unachofanya..Na vipi kuhusu kuongezeka kwa elimu ya kujikinga na tiba..Hivi leo hii wazungu walivo magenius still wanatoa elimu kwa watu wao Unataka wewe ambae kazi yako mara nyingi ni kuamka asubuhi kushika jembe kulima kurudi kulala au kulewa usipewe elimu
 
Hizo barakoa huko zinapotengenezwa.
Huu ugonjwa unawatesa vibaya mnoo.
Na barakoa wanatengeneza wenyewe
Ko unahisi wasingevaa barakoa wasingeteswa kama wanavyoteswa sahivi..Tatzo lenu mnaamin kuwa Mungu atatoa ugonjwa kwa kuflip tu kidole wakati imani zenyewe mfu..kama unajijua huna imani ya kutosha vaa barakoa acha story za vijiweni..
 
Acha kujidanganya wewe huu ugonjwa ni ushirikiano wa mtu zaidi ya mmoja kwasababu we unajilinda lakini kama mwenzio hajilindi hamna unachofanya..Na vipi kuhusu kuongezeka kwa elimu ya kujikinga na tiba..Hivi leo hii wazungu walivo magenius still wanatoa elimu kwa watu wao Unataka wewe ambae kazi yako mara nyingi ni kuamka asubuhi kushika jembe kulima kurudi kulala au kulewa usipewe elimu
Haya, usichukue hatua subiri elimu ya serikali.
 
Tatizo sio vipimo.

Bali hizo barakoa maana tangu mwaka Jana mwezi wa kwanza zimeanza kutumika dunia nzima.lakini bado watu wanaambukizwa, na namba zinaongezeka.umuhimu wa barakoa upo wapi?
We sayansi inaonekana hata idea huna kabisa swali la kitoto sana? Tatizo likitokea hatua ya kwanza ni kulipunguza kadri uwezavyo mpaka itakapowezekana usifikiri ni kuflip the finger 2 tatizo limekata. Hivi hujui hizo njia zimesaidia sana wenzetu nd maambukizi yalipungua sana mpaka uingereza wakataka kurudisha watu viwanja vya mpira. Je unajua baada ya kurudi kilitokea nn?
 
Maisha ni wewe mwenyewe. Hakuna wakukuambia fanya mazoezi au kula hiki au kunywa hivi. Ni wewe tu ujipiganie mwenyewe.

Japo wanaondoka pia wa umri wa kati tena wengi mno wanaondoka.

Jana kanisani nilivaa barakoa pekee yangu, kwani watu wote hawajui kuwa kuna ugonjwa, si wanazarau tu, unataka viongozi wakuambie vaa barakoa, its up to you jitunze my friend.

Viongozi wa kanisa wanakazia kuwa DAMU YA BWANA YESU YATOSHA, ila Neno linasema WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.

Jilinde, elewa ulikuja duniani mwenyewe na utaondoka mwenyewe.
Sasa unavaa barakoa ya nguo na unajiexpose kwa watu wasio na barakoa kabisa umelinda nn hapo duuu
 
Weka data za Corona kwanza
We sayansi inaonekana hata idea huna kabisa swali la kitoto sana? Tatizo likitokea hatua ya kwanza ni kulipunguza kadri uwezavyo mpaka itakapowezekana usifikiri ni kuflip the finger 2 tatizo limekata. Hivi hujui hizo njia zimesaidia sana wenzetu nd maambukizi yalipungua sana mpaka uingereza wakataka kurudisha watu viwanja vya mpira. Je unajua baada ya kurudi kilitokea nn?
 
Hapa Tanzania tusipovaa barakoa na huko ulaya na marekani n.k wanapovaa barakoa NI wapi kuna wagonjwa wengi?
Ko unahisi wasingevaa barakoa wasingeteswa kama wanavyoteswa sahivi..Tatzo lenu mnaamin kuwa Mungu atatoa ugonjwa kwa kuflip tu kidole wakati imani zenyewe mfu..kama unajijua huna imani ya kutosha vaa barakoa acha story za vijiweni..
 
Sasa Serikali ndio imeshikilia huo msimamo wake katika hali hiyo tunafanya nini???, tusubiri tu serikali tusitafute njia ya kufanya individually or collectively !? ?----angalia watu leo hawavai barakoa, hawatumii senitizer nk, sasa utailaumu serikali kwa ujinga wa watu tusiojitambua kwamba kuna Corona na tunapaswa kujilinda???

Sisi Watz ni mazwazwa kwani kila siku jamaa na ndugu zetu wanakufa kwa corona (imebadilishwa jina pneumonia) kinachofuatia ni sisi pia.

Badala ya kujadili mbinu za kukabiliana nayo tunajadili kuhusu Serikali isiyosikia !!!, huko ni kupoteza muda.
Hakuna ujinga hapo watu ukweli unabaki pale pale serikali inatakiwa ifanye kazi..kwani unadhani kila mtu kashuhudia kifo cha corona au yuko huku JF anapata taarifa za vifo..kipindi cha kwanza baad ya serikali kutangaza hatari mbona watu walivaa..huwez vaa barakoa kwa watu wasiovaa ukajifariji unajikinga
 
Back
Top Bottom