Yaleyale ya “TRUMP” haaa corona ni hoax, ni fake news za chama cha upinzani!!akadharau wana sayansi, akadharau dawa mpaka kasema disinfectant injection ingefaa kutibu korona, mara chloroquine inatibu mpaka watu wakawa wamekufa laki nne wakati anaondoka madarakani!!! Let us face the reality, napongeza wanasayansi ambao angaa wamekuja na NIMRICAF ila wapige hatua zaidi tupate vaccine(chanjo) yetu wenyewe, made in Tanzania!!!
Wamarekani tayari wana chanjo tatu(moderna, Johnsons & Johnsons, Pflizer) UK wanayo moja, Russia wana moja(Putink!!!), China wana moja, Australia wana moja, why not Tanzania wakati tumesoma vyuo walivyosoma hao yaani WaTz wengi wasomi wamesoma Russia, China, Scandinavian Countries, East and West Germany, Canada USA Italy France, Turkey, Japan, let alone vyuo vya Africa(Tanzania included) vipi tunashindwa kutoa vaccine yetu?
Kwa kuunganisha wataalamu wetu coupled with good political will, it can be done let us play our part. After all we have Rais mzalendo, Dr Magufuli.