IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Haka kajamaa toka corona inaanza kila uzi ni hilo tu!Wewe nimeshakwambia ni MPUMBAVU asubuhi mchana na usiku unawaza Corona tu. Dunia nzima inaangaika na Corona ingia kwenye website za nje uangalie kinachoendelea. Masaa 24 unalalamika tu kama mwanamke mwenye mimba unataka serikali ikufanyeje!?
Kama umeshajua Kuna Corona fuata taratibu jikinge sio unakaa unalialia tu kama ma.laya aliyetapeliwa. Unaboa sana kulalamika hovyo tu masaa yote. Kama unafikiri kulalamika Jamii Forums 24/7 kutakusaidia lolote endelea tu. Ila unapoteza muda wako tu.
Hebu fikiria tangu april mwaka jana kanaongela corona tu.
Sasa anataka sijui wakipaza sauti corona ndio inaondoka?
Tatizo watu kama hawa tukiwaita wapumbavu mods wanakimbilia kitufe cha ban