Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Mwambieni huyu Prof aingie maabara afanye utafiti ili kupata dawa ya korona. Siyo kubwatubatuka 6 in
Kwa kutumia sampuli ya mapapai tena au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambieni huyu Prof aingie maabara afanye utafiti ili kupata dawa ya korona. Siyo kubwatubatuka 6 in
Ametimiza wakibu wake. Unafikiri kwa nini afanye hivo leo na si jana.Duh Kama namuona le professor akitumbuliwa.
Hivi baba akiwatahadharisha familia yake naye kakiuka mwongozo au. Sasa huyo ni kama baba katika eneo lake akiona jambo afanyeje. Kuna viongozi wa dini pia wametoa tahadhari. Anyway, sielewi vizuri hapa naomba kuelimishwaEti batili. Kwani walitoa wao?
Hii serikali imejaa watu bogus sana. Nani asiyejua kwamba watu wanakufa na korona?
Huyu Prof. nimemuheshimu sana.
Muombee sana asitekweEti batili. Kwani walitoa wao?
Hii serikali imejaa watu bogus sana. Nani asiyejua kwamba watu wanakufa na korona?
Huyu Prof. nimemuheshimu sana.
Corona mpka iue mtu kule Kitovu cha Utalii ndo mtaelewa pumbavuSalaam Wakuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imekana waraka uliotolewa na Prof. Bisanda. Yawataka wanafunzi waendelee kwenda shule.
Prof. Bisanda aliwata wanafunzi wanaoingia chuoni, tunasisitiza kuwa wakae majumbani na kusoma kwa mtandao (Online). Hatutaruhusu wanafunzi na wageni kuingia kwenye kampasi zetu bila sababu maalum, kama kuja kuchukua vyeti au kufanya “clearance”. Na pale inapobidi waingie, watakiwe kuvaa barakoa wakati wote. Waende kule wanakotakiwa kwenda, na si kuzurura kila mahali. Utaratibu ufanyike kuwasaidia wanaotaka kutumia maktaba kama ni lazima, Wengi wanaitumia maktaba yetu kama mahali pa kujisomea tu. Maelekezo haya ni kwa ajili ya makao makuu, vituo vyote vya mikoa na vituo vya uratibu vilivyoko nchini.
Kuhusu waraka wa OUT, soma > Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21
Mkuu wewe tebea kwa raha zako na kuzurura kama unavyojisikia.Mwambieni huyu Prof aingie maabara afanye utafiti ili kupata dawa ya korona. Siyo kubwatubatuka 6 in
Sasa Wizara nayo ni majinga, Profesa kwenye tangazo lake mbona aliweka wazi kabisa kwamba alichokiandika ni maoni yake binafsi, sasa Ndalichako kiherehere cha nini?Salaam Wakuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imekana waraka uliotolewa na Prof. Bisanda. Yawataka wanafunzi waendelee kwenda shule.
Prof. Bisanda aliwata wanafunzi wanaoingia chuoni, tunasisitiza kuwa wakae majumbani na kusoma kwa mtandao (Online). Hatutaruhusu wanafunzi na wageni kuingia kwenye kampasi zetu bila sababu maalum, kama kuja kuchukua vyeti au kufanya “clearance”. Na pale inapobidi waingie, watakiwe kuvaa barakoa wakati wote. Waende kule wanakotakiwa kwenda, na si kuzurura kila mahali. Utaratibu ufanyike kuwasaidia wanaotaka kutumia maktaba kama ni lazima, Wengi wanaitumia maktaba yetu kama mahali pa kujisomea tu. Maelekezo haya ni kwa ajili ya makao makuu, vituo vyote vya mikoa na vituo vya uratibu vilivyoko nchini.
Kuhusu waraka wa OUT, soma > Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21
Hata akufukuzwa kazi atakuwa ametoa mchango mkubwa kwa Watanzania. Hiyo tahadhari aliyoitoa Wana Chuo watazingatia zaidi kuliko waraka wa Wizara ya AfyaLeo huyo profesa anasimamishwa kazi
Proffressor gani uchwara huyo asiyejua chain of command? kuamua kufunga chuo haliko ndani ya mandate yake sio mali yake binafsi hiyo
Kwani nyie bavicha mnachukua tahadhali kuhusu corona, au nanyi mnajua kua hakuna corona?Sisi hatupo!!! Mnachanganyana ndani ya bunge na nje yani mbogamboga mwaka huu lazima mtauwana tu
Sasa miongozo ya chuo amabyo haina uhusiano na mitaala inawezaje kukanushwa na wizara.Wizara haipaswi kuwa kilanja wa vyuo bali ni coordinator tu.Sasa tunaongozwa na mihemko sasa na kwenye ofisi za serikali tukozuiwa kuingia bila kuvaa barokoa inakuwaje.Salaam Wakuu,
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imekana waraka uliotolewa na Prof. Bisanda. Yawataka wanafunzi waendelee kwenda shule.
Prof. Bisanda aliwata wanafunzi wanaoingia chuoni, tunasisitiza kuwa wakae majumbani na kusoma kwa mtandao (Online). Hatutaruhusu wanafunzi na wageni kuingia kwenye kampasi zetu bila sababu maalum, kama kuja kuchukua vyeti au kufanya “clearance”. Na pale inapobidi waingie, watakiwe kuvaa barakoa wakati wote. Waende kule wanakotakiwa kwenda, na si kuzurura kila mahali. Utaratibu ufanyike kuwasaidia wanaotaka kutumia maktaba kama ni lazima, Wengi wanaitumia maktaba yetu kama mahali pa kujisomea tu. Maelekezo haya ni kwa ajili ya makao makuu, vituo vyote vya mikoa na vituo vya uratibu vilivyoko nchini.
Kuhusu waraka wa OUT, soma > Chuo Kikuu Huria cha Tanzania(OUT) Chatahadharisha wanafunzi na wafanyakazi wake dhidi ya COVID19 NA COVID21
Kwao sio mtaji ila kwako na kwenu.Bavicha chapeni kazi majungu siyo mtaji!
Huku tunachapa kazi bwashee!Kwao sio mtaji ila kwako na kwenu.
Korona ipo au haipo.Wasomi wetu wamegeuka kuwa chanzo cha Taharuki wanataka kuwachanganya wanafunzi.
Ndugu yangu hawa watu ni mashetani.Hivi baba akiwatahadharisha familia yake naye kakiuka mwongozo au. Sasa huyo ni kama baba katika eneo lake akiona jambo afanyeje. Kuna viongozi wa dini pia wametoa tahadhari. Anyway, sielewi vizuri hapa naomba kuelimishwa
Ana nn cha ajabu??? Hana qnachojua zaidi kuanza na neno profesa kwenye jina lake.Unajua huyu ni Prof wa nini?
Ewe kilaza huyu sio level yako.
I was not referring to the presidentTena ombwe kubwa saaana. Alafu Kuna mijitu inakaa bungeni eti aongezewe muda.
Aongezewe my foot😤
Kwenye fani yake kagundua nn chenye manufaa kwa taifa? Prof hajulikani mpk aandike tangazo la tahadhari ndiyo tunalisikia jina lake!! Hana tofauti na Mwanangu wa chekechea. Rubbish!!Unajua fani ya Prof. Bisanda au unabwatuka tu nyuma ya keyboard wewe kiumbe sexless usiye na mbele wala nyuma?