Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora yeye akilala na akiamka tu..wapo wakenya wao hata wakila ni kuiwaza Tz..mkuu joto ya jiwe endelea nao hao ngederee..Mimi ni Mtanzania mwenzako lakini nashangaa unavyohangaika na Kenya. Yani ukilala Kenya, ukiamka kenya. Hii nchi inakunyima usingizi kabisa. Ipo siku utakufa kwa presha kisa Kenya.
matafanya nini sasa na science imedunda kwenye corona!!!!Dawa za kinjekitile[emoji23][emoji23][emoji23]we umerogwa nn, unafikiria sisi ni wapuuzi kupewa dawa za kuzuia mtu kufa kwa risasi
Ulisikia nani ambae anatibiwa kw science hukumatafanya nini sasa na science imedunda kwenye corona!!!!
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
marehemu wenu kadhaa,na vifaa baadhi wakora mkaiba.Ulisikia nani ambae anatibiwa kw science huku
Sasa mbona mlitucheka tulipokua tunahimiza matumizi ya Limau na Tangawizi mkatuita Kinjekitile Ngwale, sasa hivi mumeamua kutumia dawa hizo hizo mlizotucheka?Ulisikia nani ambae anatibiwa kw science huku
Corona kenya ndo kwanza mzigo umechanganyaSasa mbona mlitucheka tulipokua tunahimiza matumizi ya Limau na Tangawizi mkatuita Kinjekitile Ngwale, sasa hivi mumeamua kutumia dawa hizo hizo mlizotucheka?
Waswahili husema " Dereva bora hujulikana kwenye barabara mbaya iliyojaa tope", Corona imeonyesha ni nchi gani yenye uongozi madhubuti na ni nchi zipi zenye viongozi oya oya.
Kwan wewe ulianza kutumia limau na tangawizi juzi ulipokua chato..Sasa mbona mlitucheka tulipokua tunahimiza matumizi ya Limau na Tangawizi mkatuita Kinjekitile Ngwale, sasa hivi mumeamua kutumia dawa hizo hizo mlizotucheka?
Kwn bongo ndio hakuna marehemu
Jibu swali, kwanini Magufuli alipohamasisha matumizi ya Limao na Tangawizi kama tiba ya Corona mlinuita Kinjekitile lakini sasa hivi mnatumia Limao kama tiba ya Corona?Kwan wewe ulianza kutumia limau na tangawizi juzi ulipokua chato..
Kwanza we wawapi vile, labda huenda nabishana na mtu ambae sehemu yupo hvyo vitu kwake kuvitumia mpka apande basi
Hehehe!!we wa wapi jomba? Emu nijibu kwanza basi..manake duh!!umefanya limau na tangawizi km vile ilikua havikuwepo na wala havitumiki..Jibu swali, kwanini Magufuli alipohamasisha matumizi ya Limao na Tangawizi kama tiba ya Corona mlinuita Kinjekitile lakini sasa hivi mnatumia Limao kama tiba ya Corona?
Hamna akili ninyi, Magufuli aliposema tutumie njia zetu za asili kwa kutumia Limao na Tangawizi kutibu Corona, mlimcheka, sasa baada ya mabwana zenu wazungu kushindwa kupata dawa, mumeamua kutumia dawa ile ile ya Magufuli kujikinga na Corona. Ninyi kweli ni Failed state.Hehehe!!we wa wapi jomba? Emu nijibu kwanza basi..manake duh!!umefanya limau na tangawizi km vile ilikua havikuwepo na wala havitumiki..
Anyway, naelewa kuna watu hvyo vitu kule kwao mwiko[emoji23][emoji23]
Dada Kenya ni nchi ya ajabu sana na nchi ya hovyo Sana, hata huwezi kueleza kuhusu hiyo nchi, mbona Uganda na Rwanda wanafanya vizuri na hizo knockdown japo hafadhali?.Mhhh nadhani huu ugonjwa ni tabia. The more lockdowns the more deadly. Utakua unaathiriwa sana na dharau yani ukiudharau unakimbia maaana huku kwetu tumeudharau mazimaaa.
Hehehe!!bado una force ili uonekane km malimao na tangawizi amevumbua magu kuliwa[emoji23][emoji23]Hamna akili ninyi, Magufuli aliposema tutumie njia zetu za asili kwa kutumia Limao na Tangawizi kutibu Corona, mlimcheka, sasa baada ya mabwana zenu wazungu kushindwa kupata dawa, mumeamua kutumia dawa ile ile ya Magufuli kujikinga na Corona. Ninyi kweli ni Failed state.