Coronavirus found in men's semen

Coronavirus found in men's semen

Hallelujah hossana!.
Ahahahahaaa....

Hii naipenda sana sana hii, angalau wanatupata kwa njia mojawapo sasa.
 
Haya sasa.

Unavaa barakoa
Unanawa kwa sabuni na maji tiririka
Unapaka sanitizer

Unarudi jioni home tayari kwa kikimo cha watoto unaibuka na mdudu corona[emoji4]

Huu mwaka kazi ipo.
Si unaona,kumbe we ni mtundu hivi[emoji87][emoji87]
 
God remove us from this disease, By this observation, it means that if covd -19 adds only a small amount from the level of severity, it means that all people who already have sexual potential should not exist in this world

Mleta ugonjwa huu, alilenga dunia ianze upya, kama hata tendo la ndoa Tu Napo linasababisha mtu kuathirika basi ni tatizo kubwa, inamaana watakao Baki ni wale Tu ambao hawajafikia kuanza kufanya tendo la ndoa

Naona hawa wachina hiyo maabara yao inataka kupunguza idadi ya watu duniani ina maana watu hawatazaliana sasa hatari
 
(CNN)The new coronavirus can persist in men's semen even after they have begun to recover, a finding that raises the possibility the virus could be sexually transmitted, Chinese researchers said Thursday.

A team at Shangqiu Municipal Hospital tested 38 male patients treated there at the height of the pandemic in China, in January and February.

About 16% of them had evidence of the coronavirus in their semen, the team reported in the journal JAMA Network Open. About a quarter of them were in the acute stage of infection and nearly 9% of them were recovering, the team reported.

"We found that SARS-CoV-2 can be present in the semen of patients with COVID-19, and SARS-CoV-2 may still be detected in the semen of recovering patients," Diangeng Li of Chinese People's Liberation Army General Hospital in Beijing and colleagues wrote.

"Even if the virus cannot replicate in the male reproductive system, it may persist, possibly resulting from the privileged immunity of testes," the team added. Privileged immunity means the immune system cannot fully reach the region to attack viral invaders.

It's not a surprising finding. Many viruses can live in the male reproductive tract. Ebola and Zika virus were both found to spread in semen, sometimes months after a male patient had recovered.

It's not yet clear if coronavirus can spread this way. Finding evidence of virus does not necessarily mean it's infectious

"If it could be proved that SARS-CoV-2 can be transmitted sexually in future studies, sexual transmission might be a critical part of the prevention of transmission," the team wrote.

"Abstinence or condom use might be considered as preventive means for these patients. In addition, it is worth noting that there is a need for studies monitoring fetal development. Therefore, to avoid contact with the patient's saliva and blood may not be enough, since the survival of SARS-CoV-2 in a recovering patient's semen maintains the likelihood to infect others."
Hapa Chadema na washinda mitandaoni wenzao aka nyumbu watamuunga mkono Magufuli fasta kuhusu vipimo kutokuwa sawa yaani vibovu
 
Hii ndo kiboko ya Wadangaji.. Wanakwambia hawaogopi ngoma.. hata 20 years watasavaivu.. saizi Ni mwendo wa COVID-19 ukichanganya mabinduki tu.. unabanwa mbavu.. unalala mbereee..
 
Hio habari nimeisoma DW nkashtuka sana kuna likely convid ikawa sexually transmitted. Ni hatari sana
 
Virusi vya corona sasa vina uwezo wa kusalia ndani ya mbegu za mwanamume yaani semen’s hata baaada ya kupona, utafiti ambao unasema kuwa huenda sasa virusi hivyo vikawe kusambazwa wakati wapenzi wawili wanaposhitriki ngono. Ni utafiti ambao umefanyiwa na mtafiti mmoja kutoka Uchina na kutoa ripoti hiyo Alhamisi.

Kikundi cha madaktari katika hospitali ya Shangqiu Municipal Hospital iliwafanyia wanaume 38 waliokuwa wameathirika na gonjwa hilo hatari kati ya Januari na Februari na kubaini kuwa mbegu zao zilikuwa ba chembe chembe za virusi hivyo.

Asilimia 16 ya wanaume hao walionyesha chembe chembe za corona kwenye mbegu zao ripoti ambayo wameichapisha kwenye nakala ya JAMAL Network Open.

"We found that SARS-CoV-2 can be present in the semen of patients with COVID-19, and SARS-CoV-2 may still be detected in the semen of recovering patients,” amesema daktari Diangeng Li.

Daktari Li amesema kuwa hata kama virusi hivyo havitakuwa nan uwezo wa kuzaana,huenda vikaathiri viungo vingine vya mwanamume na hata wakati mmoja kumfanya mwilki wake kukosa uwezo wa kukabiliana na virusi hivyo.

"Even if the virus cannot replicate in the male reproductive system, it may persist, possibly resulting from the privileged immunity of testes,” aliongeza Li.

-Shukrani RJ

Study finds coronavirus in semen, but it's unclear if Covid-19 can be sexually transmitted
 
Sasa mtafiti yupi wakuaminika kwa wakati huu,kwa sababu kuna waliotangaza utafiti wao ukapingwa. Sasa mbegu za kiume na Corona tena ugonjwa wa mapafu hapa kuna tatizo inawezekana saa wakichukua sampuli hawakua makini, alisikika daktari mmoja wa kitanzania akisema.
 
Sasa hata mikono kushikana ni shida vipi kujamiina
Sasa mtafiti yupi wakuaminika kwa wakati huu,kwa sababu kuna waliotangaza utafiti wao ukapingwa. Sasa mbegu za kiume na Corona tena ugonjwa wa mapafu hapa kuna tatizo inawezekana saa wakichukua sampuli hawakua makini,alisikika daktari mmoja wa kitanzania akisema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna watu wanatafuta kuwanyima watu uroda na kuharibu biashara za wengine

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom