Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unaona,kumbe we ni mtundu hivi[emoji87][emoji87]Haya sasa.
Unavaa barakoa
Unanawa kwa sabuni na maji tiririka
Unapaka sanitizer
Unarudi jioni home tayari kwa kikimo cha watoto unaibuka na mdudu corona[emoji4]
Huu mwaka kazi ipo.
God remove us from this disease, By this observation, it means that if covd -19 adds only a small amount from the level of severity, it means that all people who already have sexual potential should not exist in this world
Mleta ugonjwa huu, alilenga dunia ianze upya, kama hata tendo la ndoa Tu Napo linasababisha mtu kuathirika basi ni tatizo kubwa, inamaana watakao Baki ni wale Tu ambao hawajafikia kuanza kufanya tendo la ndoa
Hapa Chadema na washinda mitandaoni wenzao aka nyumbu watamuunga mkono Magufuli fasta kuhusu vipimo kutokuwa sawa yaani vibovu(CNN)The new coronavirus can persist in men's semen even after they have begun to recover, a finding that raises the possibility the virus could be sexually transmitted, Chinese researchers said Thursday.
A team at Shangqiu Municipal Hospital tested 38 male patients treated there at the height of the pandemic in China, in January and February.
About 16% of them had evidence of the coronavirus in their semen, the team reported in the journal JAMA Network Open. About a quarter of them were in the acute stage of infection and nearly 9% of them were recovering, the team reported.
"We found that SARS-CoV-2 can be present in the semen of patients with COVID-19, and SARS-CoV-2 may still be detected in the semen of recovering patients," Diangeng Li of Chinese People's Liberation Army General Hospital in Beijing and colleagues wrote.
"Even if the virus cannot replicate in the male reproductive system, it may persist, possibly resulting from the privileged immunity of testes," the team added. Privileged immunity means the immune system cannot fully reach the region to attack viral invaders.
It's not a surprising finding. Many viruses can live in the male reproductive tract. Ebola and Zika virus were both found to spread in semen, sometimes months after a male patient had recovered.
It's not yet clear if coronavirus can spread this way. Finding evidence of virus does not necessarily mean it's infectious
"If it could be proved that SARS-CoV-2 can be transmitted sexually in future studies, sexual transmission might be a critical part of the prevention of transmission," the team wrote.
"Abstinence or condom use might be considered as preventive means for these patients. In addition, it is worth noting that there is a need for studies monitoring fetal development. Therefore, to avoid contact with the patient's saliva and blood may not be enough, since the survival of SARS-CoV-2 in a recovering patient's semen maintains the likelihood to infect others."
Hebu njoo kwanza unieleze vzr huo utundu nan kakufundisha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hebu njoo kwanza unieleze vzr huo utundu nan kakufundisha
Nimecheka kama jambo zuri.Wameshaharibu weekend yangu Kenge, kwaiyo mnaamanisha siku si nyingi tutaanza kunyimwa Egoli - Place Of Gold.
Huu sasa utakuwa ni uonevu wa kiwango cha Chato..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes Toto,njoo board room nimekuitaDady
Tumia google map kufika
Sasa mtafiti yupi wakuaminika kwa wakati huu,kwa sababu kuna waliotangaza utafiti wao ukapingwa. Sasa mbegu za kiume na Corona tena ugonjwa wa mapafu hapa kuna tatizo inawezekana saa wakichukua sampuli hawakua makini,alisikika daktari mmoja wa kitanzania akisema.