Coronavirus found in men's semen

Coronavirus found in men's semen

Sasa mtafiti yupi wakuaminika kwa wakati huu,kwa sababu kuna waliotangaza utafiti wao ukapingwa. Sasa mbegu za kiume na Corona tena ugonjwa wa mapafu hapa kuna tatizo inawezekana saa wakichukua sampuli hawakua makini,alisikika daktari mmoja wa kitanzania akisema.
Utafiti gani umefanyika nchini? Unajua hata maana ya utafiti wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sasa kali! Kisu kimegusa mfupa. Unaambiwa kaa nyumbani, unatii. Muda wote upo na spouse wako, asubuhi, mchana na jioni 24/7 lakini hakuna kugusana achilia mbali kupiga!!!

Kama kukaa nyumbani kunaboa basi hili la kuzuia uroda litafanya pa boe zaidi na mwishowe wengi watasema "potelea mbali acha tuambukizane". Hapana chezea pale kati😂😂😂
 
Kutokana na research inayosambaa kwenye vyombo vya habar kua huko China wanasayans wamethibitisha kuwepo kwa virus kwenye ute wa mwanaume yaani semen,
Tukiwa kama vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa hili tunachukua tahadhar gani kwa sabab ugonjwa upo eneo pendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Virusi vya corona sasa vina uwezo wa kusalia ndani ya mbegu za mwanamume yaani semen’s hata baaada ya kupona, utafiti ambao unasema kuwa huenda sasa virusi hivyo vikawe kusambazwa wakati wapenzi wawili wanaposhitriki ngono. Ni utafiti ambao umefanyiwa na mtafiti mmoja kutoka Uchina na kutoa ripoti hiyo Alhamisi.

Kikundi cha madaktari katika hospitali ya Shangqiu Municipal Hospital iliwafanyia wanaume 38 waliokuwa wameathirika na gonjwa hilo hatari kati ya Januari na Februari na kubaini kuwa mbegu zao zilikuwa ba chembe chembe za virusi hivyo.

Asilimia 16 ya wanaume hao walionyesha chembe chembe za corona kwenye mbegu zao ripoti ambayo wameichapisha kwenye nakala ya JAMAL Network Open.

"We found that SARS-CoV-2 can be present in the semen of patients with COVID-19, and SARS-CoV-2 may still be detected in the semen of recovering patients,” amesema daktari Diangeng Li.

Daktari Li amesema kuwa hata kama virusi hivyo havitakuwa nan uwezo wa kuzaana,huenda vikaathiri viungo vingine vya mwanamume na hata wakati mmoja kumfanya mwilki wake kukosa uwezo wa kukabiliana na virusi hivyo.

"Even if the virus cannot replicate in the male reproductive system, it may persist, possibly resulting from the privileged immunity of testes,” aliongeza Li.

-Shukrani RJ

Study finds coronavirus in semen, but it's unclear if Covid-19 can be sexually transmitted
Kitumbua kimeingia mavi!
 
Hakuna virus inakaa humo,
Hiyo itakua ya kwanza wazee

TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
 
Kutokana na research inayosambaa kwenye vyombo vya habar kua huko China wanasayans wamethibitisha kuwepo kwa virus kwenye ute wa mwanaume yaani semen,
Tukiwa kama vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa hili tunachukua tahadhar gani kwa sabab ugonjwa upo eneo pendwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Elezea vizuri mkuu,ute wa mwanaume ni upi?
 
Hata kama yupo kwenye semen sidhani kama ataweza kuwa na mechanism za kutoka kwenye vagina kufika kwenye respiratory system
 
Back
Top Bottom