Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Correction.... wanaougua korona afrika ni wazungu. Maambukizi ya wazungu waishio barani afrika yafikia 133, huyo mweusi ni mlevi tu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Aise Mimi miezi minne hivi iliyopita niliugua mafua ambayo sijawahi kuugua tangu nizaliwe...Mimi ni mtu mzima...above 50...Nina wasiwasi ile ilikuwa Corona..nadhani kwa kuwa sisi weusi imebainika tuna namna ya resistance nadhani ndiyo maana mafua Yale niliyashinda...niliteseka kwa wiki mbili hivi....tehtehe hahahahaMm nina mafua siku ya 2 leo ila ni alagic ya kuwa nikila vitu vyenye mafuta sana basi chafya na mafua vitajitokeza siku hio, naomba Mungu wasije kuvamia hawa corona
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂whisky ili pandesha temperatureCorrection.... wanaougua korona afrika ni wazungu. Maambukizi ya wazungu waishio barani afrika yafikia 133, huyo mweusi ni mlevi tu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Wameshakanusha... jamaa kumbe lilikuwa na hangover View attachment 1385552
Correction.... wanaougua korona afrika ni wazungu. Maambukizi ya wazungu waishio barani afrika yafikia 133, huyo mweusi ni mlevi tu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Afrika shida, hang over wakaichanganyana na corona!!
Ndo wataalamu walivyompima jamaaAfrika shida, hang over wakaichanganyana na corona!!
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
... binadamu wote ni sawa tusianze kuulizana rangi zetu kwenye majanga ya asili; majanga hayachagui!
Alishapata mcameroon africast/aka point 5. But akapona siku 2 tu.
Sio kwamba hatuumwagi hiyo kitu..sema haitusumbui
Egypt ni waaarabu ndo wanaumwa
Nigeria ni 2 italians
South ni italians n other whites
Etc
Sent using Jamii Forums mobile app