Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Ikiingia kwenu sijui mtakula Albino ama kinyesi πEffects of Corona virus on economies where "Mzungu" investors own 70% of Stock Exchange
ππ
=============
Coronavirus: Ksh.119.6B wiped out at NSE as markets tumble - Citizentv.co.ke
pole sana mzee frustration zinakutoa akili!Ikiingia TZ Midanganyika itakula vinyezi
tukilock nchi yetu mtakufa njaa
pole sana mzee frustration zinakutoa akili!
Tunajua mtakula kinyesi na zeruzeru πtukilock nchi yetu mtakufa njaa
Ililockiwa 70's sembuse nowNyie hata mnajua kulock wapi nyie Mefi
Ililockiwa 70's sembuse now
Huwa mnanifurahisha sana na hizi pumba na porojo zenu. Boda ya Kenya-Tz ilifungwa kwa miaka saba kutoka mwaka wa 1977! Uchumi wa Kenya kwa miaka hiyo saba uliendelea kuimarika kwa kasi huku uchumi wa Tz ukisambaratika na tukawapiga gap ambalo hadi leo hii hamja'recover'. Alafu Kenya kwa sasa, tofauti na miaka hiyo, ndio nchi ya pili kwa uwekezaji Tz. Kampuni za Kenya zina share kwenye uchumi wenu, ajira wanatoa kwa maelfu ya watz. Akili zenu huwa mnazitumia kufanya nini kama hamuelewi kitakachojiri na uchumi wenu utakavopata pigo kubwa iwapo ndoto zenu za kichawi zitatimia? Tena kwenye biashara Tz mna deficit kubwa ya mamilioni ya dola na Kenya kwasababu mnanua bidhaa nyingi zaidi ya bidhaa ambazo Kenya inanua kutoka Tz. Tanzania trade with Kenya turns into deficittukilock nchi yetu mtakufa njaa
Huwa mnanifurahisha sana na hizi pumba na porojo zenu. Boda ya Kenya-Tz ilifungwa kwa miaka saba kutoka mwaka wa 1977! Uchumi wa Kenya kwa miaka hiyo saba uliendelea kuimarika kwa kasi huku uchumi wa Tz ukisambaratika na tukawapiga gap ambalo hadi leo hii hamja'recover'. Alafu Kenya kwa sasa, tofauti na miaka hiyo, ndio nchi ya pili kwa uwekezaji Tz. Kampuni za Kenya zina share kwenye uchumi wenu, ajira wanatoa kwa maelfu ya watz. Akili zenu huwa mnazitumia kufanya nini kama hamuelewi kitakachojiri na uchumi wenu utakavopata pigo kubwa iwapo ndoto zenu za kichawi zitatimia? Tena kwenye biashara Tz mna deficit kubwa ya mamilioni ya dola na Kenya kwasababu mnanua bidhaa nyingi zaidi ya bidhaa ambazo Kenya inanua kutoka Tz. Tanzania trade with Kenya turns into deficit
Karanga za Diamond zipo π π π π πUkwel mchungu kwel jamani, umeshaambiwa miaka saba mipaka ilifungiwa tena kiongozi alikua yule marehemu("dictator moi") na bado uchumi haukuyumba ila gap ndio lilizidi..
Anyway, mbna madukani sijaona vyakula vya kutoka tanzania, labda unisaidie kidogo jomba
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana majirani, nasikia wawili huko kwenu wamefariki. Mungu awasaidienajua hukupata supu ya Albino leo, Si mtapasuka msamba ikiingia Dangagiza
Sumu gani hiyo mburulaUkweli sumu. Umeguziwa ukweli ukabaki ukitoa povu
Mpaka sasa hakuna any corona case in Tz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ATCL mbona hairuki Hadi Satafrika? Kenya ikiadhirika na Korona, Tz itaadhirika Mara 3.
Hio meme imenichekesha sana
HIo $1.19 Billion loss ni just 5% drop ya stokes zote za NSEEffects of Corona virus on economies where "Mzungu" investors own 70% of Stock Exchange
ππ
=============
Coronavirus: Ksh.119.6B wiped out at NSE as markets tumble - Citizentv.co.ke
NAIROBI, Kenya, Mar 13 β Kenyaβs confirmation of the novel coronavirus stopped trading activity at the Nairobi Securities Exchange after the benchmark index plunged by more than 5 percent.
In a statement sent to newsrooms, the bourse says it stopped activity at 2:38 pm as provided in the NSE Equity Trading Rules requiring a temporarily stop of trading for not more than 30 minutes should the NSE 20 Share Index decrease by more than 5 percent.
βAs per the provisions of Rule 9.4.1 (ii) of the NSE Equity Trading Rules, should the NSE 20 Share Index decrease by more than 5 percent at the opening session compared to its closing value or during the continuous session, compared to its opening value, the Exchange may temporarily halt trading for not more than 30 minutes.β
Mambo ni mawili;
Fool, corona haiingilii airport alone. Corona haipandi ndege, inapanda watu.Mambo ni mawili;
1.Hamna vifaa vya kupima virusi
2.Airport yenu haina wageni.