Tetesi: Coronavirus: Ksh.119.6B wiped out at NSE as markets tumble

Tetesi: Coronavirus: Ksh.119.6B wiped out at NSE as markets tumble

Unajua kuna wakati ninashindwa kuelewa ni jinsi gani mlivyo na uwezo mdogo sana wa kufikiria, hivi unadhani kila kitu unachokiona katika soko lenu la vyakula limewekwa nembo ya viwanda vya Kenya unadha cimezalishwa Kenya.

80% ya viwanda vyenu vya unga wa mahindi wananunu mahindi toka Tanzania na Uganda, wanachofanya ni kusaga na kuweka katika mifuko yao na kuandika jina lao
Tanzania’s rice exports to Kenya, Rwanda to increase

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzako kanitajia azam na mo...

Kulingana na insha yako mwisho ni kwamba tunanua mahindi kw pesa zetu kutoka kw nchi yyte ile tutakayoridhiana nayo...

Kwhyo mipaka mkifunga tutanunua uganda wala hatuwategemei wakulima bali kazi yenu ni kuomba Mungu serikali yetu inunue mahindi kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stop being silly... I'm realistic.... And here's the reality.Tanzania Daily News (Dar es Salaam) Tanzania: Maize, Flour Supply Deal to Kenya Agreed
By Henry Lyimo
TANZANIA will supply one million metric tonnes of maize and flour to Kenya in a period of 12 months to bridge a shortfall of corn that has led to soaring prices of food.
The Deputy Minister for Agriculture and Irrigation, Hussein Bashe told the 'Daily News' yesterday Kenyan officials whom he met in Dar es Salaam yesterday had requested to be supplied with one million metric tonnes of maize and they agreed that amount would be supplied in 12 month time.
"They said they need one million metric tonnes of maize and we agreed we will supply the said amount in a period of 12 months. The supply will involve maize flour, raw maize and even rice," he said.
The Kenyan officers were led by Kenya's Principal Secretary of the State Department for Agricultural Research in the Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries, Prof Hamad Boga and Kenyan High Commissioner in Tanzania, Ambassador Dan Kazungu.
The Deputy Minister said they agreed that 20,000 metric tonnes would be supplied to Kenya immediately from the N ational Food Reserve Agency (N FRA) and the focal point would be the Cereals and Other Produce Board of Tanzania.
He said the focal point for 20,000 metric tonnes would be Makambako and Songea and officers from departments responsible for issuing permits should organize themselves to fast-track the process.
"The focal point will be Makambako and Songea. All officers responsible for permits should be there and should work together to cut red-tape," he said.
The Deputy Minister said they agreed that a technical team from Kenya would meet their counterparts in Tanzania next week to come up with a framework of agreement for supply of food crop to Kenya.
The team would involve officials from Kenya Bureau of Statistics (KBS), Kenya Revenue Authority (KRA), Department of Food and Plant Health Services and Millers Association.
The team from Tanzania would involve officials from N FRA, the Cereals and Other Produce Board of Tanzania, Department of Plant Health Services and Tanzania Revenue Authority (TRA), he said.
"I have given them a deadline of Friday next week to come up with a framework agreement for the supply of the food crops to Kenya," he said noting that the Kenyan team would also bring specific needs of foods items to be supplied under the agreement.
The Deputy Minister said he had instructed N FRA and the Cereals and Other Produce Board of Tanzania to seek funding from Tanzania Agriculture Development Bank.
The amount of the funds to be sought would be known after the framework agreement is approved and contract signed, he said.
Mr Bashe said he had also directed the Marketing Department of the Ministry of Agriculture to prepare a list of local brands of maize flour that have Tanzania Bureau of Standard (TBS) mark so that they can be supported to supply their products in Kenyan market.
"I have instructed our marketing department to prepare a list of local brands of maize flour with TBS mark so that they can be helped to supply their products in Kenya.
This is important so that KBS can help them enter the Kenyan market," he said. He said the food items to be supplied under the agreement would be obtained from both the N FRA and the private sector.
"The private sector will also be involved. It is possible that some people have stocks of maize. They will be allowed to sell but they must follow the procedures that will be laid down in the next week meeting," he said.
Read the original article on Daily News.
Tagged: Tanzania East Africa Business Kenya
Agribusiness Food and Agriculture
Copyright [emoji2398] 2019 Tanzania Daily News. All rights reserved. Distributed by AllAfrica Global Media ( allAfrica.com ).

Usiwe mjinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si wewe ulisema vitu tayari vinauzwa madukani tangu enzi hzo tunawategemea bila nynyi hatutokula...

Haya hivi imekuaje tena unaleta habari ambayo inaonyesha mipango amabayo hata haijakuwa implemented..

Hivi umeangalia habari zetu za hivi majuzi ya kwamba wakulima wanapinga hilo jambo na wako tayari kuwauzia serekali bora waweke reasonable prices...

Mtangoja sana mtuuzie huo unga wenu sijui unajiitaje vile, mtabakia na vi link tu vya vikao wanavyokaa...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzako kanitajia azam na mo...

Kulingana na insha yako mwisho ni kwamba tunanua mahindi kw pesa zetu kutoka kw nchi yyte ile tutakayoridhiana nayo...

Kwhyo mipaka mkifunga tutanunua uganda wala hatuwategemei wakulima bali kazi yenu ni kuomba Mungu serikali yetu inunue mahindi kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kukuonyesha ni jinsi mbavyoitegemea Tanzania kwa chakula, nadhani umeelewa na kuamini, ubishi katika hili umekwisha.

Twende katika kututegemea katika malifhafi za viwandani. Kenya inategemea Pamba ya Tanza kwa zaidi ya 60% kwa ajili ya viwanda vyake. Inategemea karatasi toka Tanzania kwa 75% kwa ajili ya viwanda vyake, viwanda vya Cement vinategemia clinker toka Tanzania, the list is endless......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cc:joto la jiwe
Cc:dronecamera

Viwanda vingine hununua mahindi tanzania kw sababu ya bei lkn eti msijigambe hapa eti tunawategemea...never, cz km ni mipaka imeshawai fungwa na uchumi wetu ukapanda maradufu....
Watu walikula kumwaya baada ya hapo huingia kitaa na kuanza kuimba mapambio ya moi km mnavyofanya sai kw magu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitaka kukuonyesha ni jinsi mbavyoitegemea Tanzania kwa chakula, nadhani umeelewa na kuamini, ubishi katika hili umekwisha.

Twende katika kututegemea katika malifhafi za viwandani. Kenya inategemea Pamba ya Tanza kwa zaidi ya 60% kwa ajili ya viwanda vyake. Inategemea karatasi toka Tanzania kwa 75% kwa ajili ya viwanda vyake, viwanda vya Cement vinategemia clinker toka Tanzania, the list is endless......

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha kutegemea na kununua kwanza...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitaka kukuonyesha ni jinsi mbavyoitegemea Tanzania kwa chakula, nadhani umeelewa na kuamini, ubishi katika hili umekwisha.

Twende katika kututegemea katika malifhafi za viwandani. Kenya inategemea Pamba ya Tanza kwa zaidi ya 60% kwa ajili ya viwanda vyake. Inategemea karatasi toka Tanzania kwa 75% kwa ajili ya viwanda vyake, viwanda vya Cement vinategemia clinker toka Tanzania, the list is endless......

Sent using Jamii Forums mobile app
Mipaka ilipofungwa tulivitoa wapi hvo vitu unavyoviongelea[emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si wewe ulisema vitu tayari vinauzwa madukani tangu enzi hzo tunawategemea bila nynyi hatutokula...

Haya hivi imekuaje tena unaleta habari ambayo inaonyesha mipango amabayo hata haijakuwa implemented..

Hivi umeangalia habari zetu za hivi majuzi ya kwamba wakulima wanapinga hilo jambo na wako tayari kuwauzia serekali bora waweke reasonable prices...

Mtangoja sana mtuuzie huo unga wenu sijui unajiitaje vile, mtabakia na vi link tu vya vikao wanavyokaa...



Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kumuelewesha kichwa ngumu kama wewe ni mpaka aahirishe kazi zake za siku ili atumie siku nzima kukuelewesha....Mimi hiyo kazi siwezi... Mwalimu wako darasani alifaa alipwe mara mbili aisee.
 
Cc:joto la jiwe
Cc:dronecamera

Viwanda vingine hununua mahindi tanzania kw sababu ya bei lkn eti msijigambe hapa eti tunawategemea...never, cz km ni mipaka imeshawai fungwa na uchumi wetu ukapanda maradufu....
Watu walikula kumwaya baada ya hapo huingia kitaa na kuanza kuimba mapambio ya moi km mnavyofanya sai kw magu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sahivi hawali kumwaya? What happened?
 
Mipaka ilipofungwa tulivitoa wapi hvo vitu unavyoviongelea[emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Twende katika kutegemea Tanzania ili kuzifikia nchi za kusini mwa Africa, katika hili ndio hamna jinsi ya kuzifikia nchi za Malawi, Zambia, Zimbawe, Botswana, Namibia na Angola bila kupitia Tanzania.

Nadhani sasa unaona ni kwa kiasi gani uchumi wa Kenya unavyoitegemea Tanzania. Ikumbukwe kwamba, Kenya inaitegemea Tanzania kama kiunganishi muhimu na nchi za SADC, Geographically & Diplomatically.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukwel mchungu kwel jamani, umeshaambiwa miaka saba mipaka ilifungiwa tena kiongozi alikua yule marehemu("dictator moi") na bado uchumi haukuyumba ila gap ndio lilizidi..

Anyway, mbna madukani sijaona vyakula vya kutoka tanzania, labda unisaidie kidogo jomba

Sent using Jamii Forums mobile app
Subira tufunge mipaka ndio utajua kuwa kipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kheee!!wasee kujeni hku mumsikie huyu lofa, ywadaisha mchele, unga na beans vinatokea tanzania[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Stori za vijiweni haswa[emoji122][emoji122][emoji122]
Haya huo unga na mchele wa tanzania unakua pact wakitumia majina gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka majina heheheh

Sisi tunaleta lumbesa kg100 nyie huko mnafungiwa kwenye vipakiti kwa majina yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom