komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Km 1977 tulifunga na mdio gap likazidi, sembuse sasa wakati dikteta moi kafariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km 1977 tulifunga na mdio gap likazidi, sembuse sasa wakati dikteta moi kafariki
Unaleta utani kwenye mambo ya msingi.CORONA VIRUS
ITALY: Lockdown
CHINA: Lockdown
DENMARK: Lockdown
NORWAY: Lockdown
IRELAND:close all school and cancel mass gathering
USA: close all school and ban European plane
TANZANIA : osha mikono yako kwa maji safi yanayo tiririka
Naona umechange gear, wakati ukwel upo na haya unayoyaongelea yalishatokea tayari...Twende katika kutegemea Tanzania ili kuzifikia nchi za kusini mwa Africa, katika hili ndio hamna jinsi ya kuzifikia nchi za Malawi, Zambia, Zimbawe, Botswana, Namibia na Angola bila kupitia Tanzania.
Nadhani sasa unaona ni kwa kiasi gani uchumi wa Kenya unavyoitegemea Tanzania. Ikumbukwe kwamba, Kenya inaitegemea Tanzania kama kiunganishi muhimu na nchi za SADC, Geographically & Diplomatically.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize benpol atakusimuliaMbona sahivi hawali kumwaya? What happened?
Sasa kwn aliyeleta link ya mipango ya kutaka kuuza unga ni nani?Mtu kumuelewesha kichwa ngumu kama wewe ni mpaka aahirishe kazi zake za siku ili atumie siku nzima kukuelewesha....Mimi hiyo kazi siwezi... Mwalimu wako darasani alifaa alipwe mara mbili aisee.
Hivi wakenya mnaelewa kweli kiingereza aiseeSasa kwn aliyeleta link ya mipango ya kutaka kuuza unga ni nani?
Mbna hasira tena jamani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha huo mchezoUnaleta utani kwenye mambo ya msingi.
Kwhyo kw uelewa wako huo unga na hayo mahindi yameshaingia kenya tayari...Hivi wakenya mnaelewa kweli kiingereza aisee
I think we should end here now...coz unapenda ligi sana...unfortunately it isn't my cup of tea...Have a nice day.Kwhyo kw uelewa wako huo unga na hayo mahindi yameshaingia kenya tayari...
Kingereza jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kajipange upya jomba, watu sio wa wajinga km unavyofikiri...I think we should end here now...coz unapenda ligi sana...unfortunately it isn't my cup of tea...Have a nice day.
Ila nimeamini wewe ni airhead kweliKajipange upya jomba, watu sio wa wajinga km unavyofikiri...
Habari za mipango peleka chato hko
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuamini tu halafu uone km itakuletea chakula kw meza nyumbaniIla nimeamini wewe ni airhead kweli
ungejisemea wewe mwenye njaa huko.Endelea kuamini tu halafu uone km itakuletea chakula kw meza nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu haina umuhimu... Ni kwa faida yako na njaa yako.
Rudi kwenye mada sasa, manake unajifanya mjanja unakwepa mada kusudi..Kwangu haina umuhimu... Ni kwa faida yako na njaa yako.
Mada si inahusu NSE...au unazungumzia mada ipi...you're getting tipsy now..drop that whisky from your hand.Rudi kwenye mada sasa, manake unajifanya mjanja unakwepa mada kusudi..
Kw taarifa yako sina mda wa taarab, km umeishiwa kaa pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app