CORONAVIRUS: Naongeza miluzi ya tahadhari lockdown iharakishwe

CORONAVIRUS: Naongeza miluzi ya tahadhari lockdown iharakishwe

90% ya hao wagonjwa ni imported cases. Yaani wameingia Bongo wakati mzee Corona tayari keshazama ndani. All in all, joto sio sababu kwa kuwa South Africa sasa local transmission zimeshaanza maana kuna wagonjwa kibao ambao hawajasafiri kutoka nje ya Nchi.
Singapore wana wastani wa joto la 27°C lakini kuna kesi za wagonjwa ambao hawana uhusiano na kuutoa nje ya nchi.
Link ya taarifa rasmi ya serikali ya Singaore hii hapa Coronavirus disease 2019: Cases in Singapore
Wazungu wanasema seing is believing.
 
All in all hadi sasa tz wagonjwa 6...

Tukubali tukatae huu ugonjwa kwa africa its not a big deal sema umekuja kutafuta kick tu za bure.

Ingelikuwa kwel huu ugonjwa unasambaa kwa kasi africa nadhan robo ya watu sasa hivi wangekuwa washapoteza maisha maana si mchezo kabisa unavyoua...
Mkuu habari ya leo wagonjwa wa COVID-19 wapya Jumla yao ni 53:
38 - DSM, 10 - Zanzibar, 1 - Kilimanjaro, 1 - Mwanza, 1 - Lindi, 1 - Kagera na Pwani- 1.
Wagonjwa wote tangu mgonjwa wa kwanza nchini ni 147.

Nakuambia hivi wait and see, The worst is yet to come from COVID-19.
Hii inaitwa kusikia kwa k**ge hadi damu zimtoke masikioni.
 
Hiyo lockdown kwa uchumi huu wa bila kutoka huli haiwezekani. Ukifunga mitaa watu watakufa njaa.
Mkuu Lockdown haikwepeki tena tutafanya wakati tumepoteza watu wengi sana.
Bora tungewahi huenda ugonjwa tunge udhibiti mapema kisha tukaendelea na shughuli zetu za kujenga uchumi.
 
Mkuu habari ya leo wagonjwa wa COVID-19 wapya Jumla yao ni 53:
38 - DSM, 10 - Zanzibar, 1 - Kilimanjaro, 1 - Mwanza, 1 - Lindi, 1 - Kagera na Pwani- 1.
Wagonjwa wote tangu mgonjwa wa kwanza nchini ni 147.

Nakuambia hivi wait and see, The worst is yet to come from COVID-19.
Hii inaitwa kusikia kwa k**ge hadi damu zimtoke masikioni.
Hali tete sana mkuu,,
 
Pambana na khali yako,serikali haijaleta corona na wala haipendelei kuona watu wake wakifa au kuugua

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii uliandika wakati hakuna kifo hata kimoja na wagonjwa walikuwa sita (6) tu.
Leo zimetimia siku thelathini yaani mwezi mmoja kamili na wagonjwa wamefikia 254 na kati yao vifo zaidi ya 5 Tanzania yote.

Vipi bado unashika msimamo huu wa kupambana kila mtu na hali yake badala ya kupambana kwa pamoja kama taifa kwa kupokea maoni ya watu mbalimbali?
 
Unaambiwa hata uchina ilianza hivihivi wengi kupuuzia baada ya wachache kuwa wanaugua siku za mwanzo. Kipindi hicho ndicho wengi hupata maambujizi kabla ya zile dalili kuanza kuonekana.

Zikianza inakuwa kama moto katika nyasi kavu watu wengi kwa wakati mmoja watakuwa wakiugua na namba kupanda kwa kasi.

Muhimu chukua thlahadhari mapema mara zote majuto ni mjukuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu maneno yako yanatimia kwenye baadhi ya nchi za Afrika sasa hali tete.
Mungu atulinde sisi na familia zetu na viongozi wetu katik nyakati hizi ngumu za uongozi huku kuna kitisho cha adui COVID-19.
 
Back
Top Bottom