CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

1587367354096.png
 
WANGETANGAZA NCHI NZIMA KUVAA MASK MKUU WA MKOA TABORA UPO?BARABARA YA TORONTO WAMACHINGA HAKUNA CHA MAJI WALA MASK
 
67% ya watanzania wamezaliwa 80s and above, hawakuchimbishwa mahandaki yakumkimbia Idd Amin, walichoona ni maandamano ya chadema, wanamawazo yakipumbavu, wakiambiwa kule Kuna hatari ndio kwanza wanaenda kuchungulia. Uganda na Rwanda wakiambiwa hii hatari wanaelewa,

Kwa hatua tuliyonayo sio ya kujadiliana Wala kupeana ngeli, tuambizane ukweli, mtu akikaidi Ni mboko. Tunahitaji viongozi walionyooka.

Enzi za akina mwakalindile tumainiel kiwelu mayunga nsa kaisi huu ujuaji usingekuwepo.
 
Back
Top Bottom