BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hahah siku hizi tuna-comment kitahadhari kwny kila kitu mkuu.Yap!!!!!!...eti lion...wene!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Kwa maana hii wasiokuwa na kazi maalum watapungua mjini Dar!Nimeenda jana ubungo kukata tuketi nije hko hilo nyomi la watu wanaosafiri utadhan ni mwez wa 12,tunakuja kwa wingi mkuu hamna namna mutupokee tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eh...………..!! Hajjapona mpaka leo?Mwana FA yupo Temeke na yupo hoi taabani, nasikia anahamishiwa amana
Eh...………..!! Hajjapona mpaka leo?
MUNGU amsaidie
Hivi dozi ya Covid 19 ni ipi au ndo hiyo juice ya malimao na tangawizi? Maana si wanasema hakuna dawa yake?Inasemekana ypo kwenye dozi
Ndiyo
Mwana FA yupo Temeke na yupo hoi taabani, nasikia anahamishiwa amana
ChaweneWazee wa baa mjiandae,jamaa wanatengeneza mazingira ya kufunga baa zote..baa moja ya mheshimiwa waziri flani iliyopo maeneo ya vingunguti imeshafungwa leo
Mwana FA yupo Temeke na yupo hoi taabani, nasikia anahamishiwa amana
Mwana FA yuko hospitali.