Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Maombi ya Wauwaji wa Africa, sema shetani anaweza kujifanya kujibu maombi yako ili akumalize! Mungu amekupa akili zitumie, mbona hatuombi/kusali ili tuwe na miundo mbinu mizuri au tuwe na monthly salaries automatic? Tusimkufuru Mungu watu wanakufa acheni upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…