Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idadi ya wagonjwa haijaongezekaTunaweza fanya analysis ya matokeo ya maombi ya siku tatu kwenye Corona?
Hivi walikwenda kbala ya yaliyotokea kutokea?Nendeni MLIMA wa moto. Mikocheni B
kuondolewa, kuepushwa na janga la corona? una maana gani?Hivi watanzania tulivyotangaziwa kufunga na kuomba siku tatu mfufulizo baada ya kuondolewa kuepushwa tatizo la corona tulifunga na kumshukuru Mungu???????????nachomekea tu au siyo ndugu zangu!!!
wana suffer, sio wana suffering bhana!... wenzetu wana suffering
Mungu anasema mfanye kazi. Maombi au ibada ni mambo tunayotakiwa kuyafanya kila siku katika maisha yetu katika magonjwa au furaha haijalishi na kusoma tuliamrishwa pia na Mungu someni. Science ni muhimu sana tena sana sio katika janga la corona tu kuna magonjwa mengi sana yalikuwa zamani yanauwa watu leo yana dawa zinasaidia. Katika maisha haya haya hatujaambiwa tuchague moja ni lazima tuheshimu science na elimu kwa jumla na ibada tumefanyiwa fardhi( lazima). Ibada ni lazima kwa wote haijalishi ila science sio sote tunaoweza sasa wanaofanya basi lazima tuwaheshimu sana tu hata tukiumwa kichwa tunakimbilia panadol.