Coronavirus, Tanzania: Shule zote kuanzia za Awali, Msingi na Sekondari zafungwa. Mikusanyiko ikiwemo ya Kisiasa yasitishwa

Wee sky eclat! Sasa unatakaje? Mahabusu na wafungwa wafunguliwe waende majumbani kwao? Mi nakwambia wafungwa na mahabusi woote nchini wakifunguliwa madhara yake ni makubwa kuliko corona!
Cha muhimu hapa ni kuhimiza askari magereza wanapata muongozo wa kujikinga na corona pia wafungwa wapya wasichanganyike na wa zamani.
Maji na sabuni vipatikane ki rahisi
 
Cha muhimu hapa ni kuhimiza askari magereza wanapata muongozo wa kujikinga na corona pia wafungwa wapya wasichanganyike na wa zamani.
Maji na sabuni vipatikane ki rahisi
Ustaarabu wa namna hiyo ni nyumbani kwako! Hivi unajua magereza au unaambiwa? Nafasi ya kulala kuweka ubavu wako unaugombania! Alafu unasema nafasi ya kuwatenga wapya na wazamani?
 
Yani huuu ugonjwa ni rahisi sana kuuzuia ila watu hawajaaamua kuuzuia, watu wanataka kujitokeza kusema namba ya walioongezeka

Hivi ukizuia wageni kwa muda utakufa? Si uwazuie kwa siku 30? Hata kama utakosa hela, funga kuokoa watu, acha kukimbilia kutangaza namba na kufunga shule na vyuo, haitasaidia, zuia wageni, duniani kote kisa cha kwanza unasikia kililetwa na mgeni mtu alieshuka na ndege, sasa si mdhibiti hizo ndege?

Huuu ugonjwa ulipogundulika tu dunia ingezuia watu kutoka huko ingekuwa umeisha.

Funga hiyo mipaka, zuia hao watu wanaotoka huko, waweke kwenye uangalizi basi kama hamtaki kufunga mipaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujue kuna watu wananishangaza sana wanasema na kuandika eti huu ugonjwa wameshindwa kuzuia nchi kubwa sembuse sisi... Nabaki mdomo wazi kwamba huyu mtu kama huyu hana upeo wa kufikiri na pia hafuatilii huu ugonjwa. Hizo nchi kubwa zimepata huu ugonjwa kwa kuruhusu safari za nje na ndani ya nchi na baada ya kuona hali ya ugonjwa inasambaa kwa kasi wameamua kufunga mipaka yao na kuzuia safari, michezo na mikusanyiko yoyote. Sasa angalia nchi yetu mtu wa kwanza katoka Ubelgiji kagundulika na corona mpaka hapo wangeshtuka na kuamua kufunga safari hakuna watu kuingia wala kutoka Tanzania. Sasa mtu anaacha kufanya hayo maamuzi utafikiri nchi itapanda uchumi au hela itapanda thamani vile
 
Kwa nini watu wengine wanasema '' kwani CORONA VIRUS' IMELETWA NA SIRIKALI?'' kwa hiyo iache tu kutibu watu?
 
Hizi nchi 54 za kiafrika zilizozilizopew misaada dhid ya Corona bado zinatawaliw/ni makolon ya nchin za ulaya ikiwemo Nchi ya China na ndio maana tunafanya mambo kwa maelekezo yao ikiwemo Kuzifunga shule vyuo nk
 
Hizi nchi 54 za kiafrika zilizozilizopew misaada dhid ya Corona bado zinatawaliw/ni makolon ya nchi za ulaya ikiwemo Nchi ya China na ndio maana tunafanya mambo kwa maelekezo yao ikiwemo Kuzifunga shule vyuo
 
Hoja yako sio pesa bali useme serikali aijakazia kuhusu makanisa ila tusiwe wajinga tujiongeze tusiende kanisani sio kila kitu tungoje matamko.

shule kufungwa ilikuwa sahihi mtoto wa mtu angefia shule ungekuwa uzembe wa serikali

Ila wakifia kanisani utakuwa uzembe wa wazazi wao serikali haitalaumiwa kwa chochote. jiongezeni fungieni watoto wenu nyumbani wacheze wafanye kazi ndogo ndogo na ma-housegirl wapumue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…