Coronavirus, Tanzania: Shule zote kuanzia za Awali, Msingi na Sekondari zafungwa. Mikusanyiko ikiwemo ya Kisiasa yasitishwa

Kama Rais ilibidi akataze mikusanyiko. Na sasa ana iencourage kuwa dawa halisi ya corona iko kanisani na corona itaungua kwa jina la yesu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vitu vingine sio mpaka Rais aseme. Watoto wako wamerudi nyumbani halafu wewe unawa-expose then unalaumu?!

Angesema hamna kwenda kanisani au misikitini sisi hao hao tungesema anaingilia Uhuru wetu wa kuabudu na vitu kama hivyo. Tuanze wenyewe kujihami kabla serikali haijapiga marufuku, hamna mtu mwenye akili timamu asiejua nini kinaendelea dunia hii.
 
Kama una hofu na kwenda Kanisa ni au msikitini kiherehere cha kwenda huko umekitoa wapi? Acha kwenda wewe na familia yako. Full stop!
 
To me I have no problem, kuna wanaoona tamko la Rais ni final na ndiyo dira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha, huyu jamaa huo mstari aliomalizia nao....😀😀
 
Akili Nyingine ovyooo kabisa,Mtoto wako mwenyewe katika hatari hii ya ugonjwa Wa Corona unashindwa kumzuia kutoka nyumbani halafu unakuja kulalamika mtandaoni?Rubbish kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So kenyata , Trump na Marais wengine wanaongoza ibada za kitaifa ni wajinga .
Siyo lazima uwongee imani ni mtu binafsi si lazima

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga ni ujinga tu. Haijalishi umefanywa na yeyote ( Kenyatta, Trump, mkulima, au ombaomba).
Kama hoja ni kuzuia maambukizi kutokana na mikusanyiko, hata ya kidini izuiwe.
Virusi havijui kutofautisha mikutano ya kidini na isiyohusu dini.
 
Tupo bize na serikal ya viwanda.Hatuleta corona sisi.
 
To me I have no problem, kuna wanaoona tamko la Rais ni final na ndiyo dira.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Mzazi ni jukumu lako kuangalia familia yako usingoje Rais akuambie nini cha kufanya.
Kuna vitu unatakiwa ufikirie kama MTU mzima.
Kama serikali imeweza kuwatoa watoto shule na kuwaleta nyumbani sasa ni jukumu lako kama Rais Wa Familia kuweka Dira yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania kwa kualalamika hatujambo.
 
Wewe ni takataka, hujui context ya thread, kakanyage mafuta, akili yako huko itakuelewa. Siyo haya, akili yako haiwawezi
Akili Nyingine ovyooo kabisa,Mtoto wako mwenyewe katika hatari hii ya ugonjwa Wa Corona unashindwa kumzuia kutoka nyumbani halafu unakuja kulalamika mtandaoni?Rubbish kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…