Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Uongozi wa Mahakama ya Tanzania umesema Wadau wote wa Mahakama pamoja na Wananchi kwa ujumla watakaofika Mahakamani kuanzia Jumatatu Aprili 20, 2020 watatakiwa kuvaa Barokoa
Hatu hii ni moja ya mikakati iliyowekwa na Mahakama katik kuzuia kuenea kwa maambukizi ya #CoronaVirus kwa wateja wake ili kuhakikisha wanakuwa salama
Aidha, Wadau na Wananchi wote wanaofika Mahakamani wanatakiwa kuhakikisha wananawa mikono kwa maji tiririka na au kutumia vitakasa mikono wanapoingia na kutoka maeneo ya Mahakama
Hatu hii ni moja ya mikakati iliyowekwa na Mahakama katik kuzuia kuenea kwa maambukizi ya #CoronaVirus kwa wateja wake ili kuhakikisha wanakuwa salama
Aidha, Wadau na Wananchi wote wanaofika Mahakamani wanatakiwa kuhakikisha wananawa mikono kwa maji tiririka na au kutumia vitakasa mikono wanapoingia na kutoka maeneo ya Mahakama