That's right but Mr President must make himself clear of doubt before deciding so as he can not put the country into hostility with big potatoes.Hence not every project signed by his predecessors was corruptiveThat is obvious, corruption was everywhere and Tanzanians will pay for all those diabolical projects. However the current president should revisit all projects both complete and uncompleted for reevaluation.
The first thing Magufuli and his team did, was to go through each and every contract past and present, looking for anything which indicate corruption or unfavorable conditions. That's why, you saw Dangote been revisited, mining company paying more tax, revoke licenses and cancelling title deed from speculative land grabbers and so on.That is obvious, corruption was everywhere and Tanzanians will pay for all those diabolical projects. However the current president should revisit all projects both complete and uncompleted for reevaluation.
Mbona waswahili hamjiamini?Its telling us most of construction projects previous awarded to Chinese could have sort corruption!!!
The incidence could have diplomatic consequences.
That means the whole project Bill of quantities need to be reivisited and find out whether there is a posibilitites of exagerating the real cost of project.Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
nHaya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
3 billion?? Are you on your total sense?
(CNN)It's been billed as the most ambitious project in Kenya since it gained independence in 1963.
Now, the first section of the east African nation's $13.8 billion railway is nearly finished. Kenya's $13 billion East Africa railway - CNN.com
Nyie huwa mnajifanya ndio geniuses wa East Africa lakini hiyo project yenu namna mlivyopigwa mmeonesha ni namna gani mlivyo weupe kichwani, hizo scrapers hazina hata thamani ya Shilingi tatu.
n
Are you talking about this sharks of yoursthese horrors should even cost free of charge
Kingereza huwa kinawatatiza sana Watanzania, Nyerere aliwaponza kwa kuwasindika ndani ya kapu moja la lugha ya Waarabu hadi mnaonekana kama mabumbumbu wa kiaina. Na ndio imewafanya mnaona kama Kenya tumeliwa kwenye suala la reli wakati mahesabu tumeyapiga kwa umakini mkubwa sana.
Soma hayo makala upya, rudia kuyasoma kama mara kumi au uombe mtu akutafsirie. Utapata kuelewa hiyo $13 billion inahusu nini.
Ujenzi wa kilomita 609 pamoja na vidubwasha vyote vinatugharimu $3.8B
That piece of engineering, soma data zake ndio uje kubwabwaja upumbavu hapa, unafikiri hii ni ile milegezo yenu ya singeli.
Haya poa, naomba wadau wataalam tutaingia kwenye mahesabu. Maana hii ya Wabongo inagharimu 7bn$ kwa umbali wa 400km
Yetu umbali wa 609km, ujenzi wa vituo vya kisasa, madaraja marefu na ya kupitia juu, mabehewa na vichwa, na kuzingatia ugumu wa upatikanaaji wa ardhi Kenya vyote vimetugharimu $3.804b
Kuna uzi tulichemshana wakati Watanzania walianza na Wachina kabla ndoa kuvunjika baina yao. Nawasilisha, watu waje na mahesabu.
Wewe umeshawehuka na mnyuko wa 14$ billion sasa unajifariji kwa vihesabu vya kipumbavu visivyo na kichwa wala miguu go figure out how cnn comes out with those 13$ billion then compare to your zero brain of 3$billion pathetic,
kusema nilikosea number 1 ya mwanzo sio ujinga. Hahahah 3$ billion?? Come build for me to my toilet.
Hahaha!! Niliaona hili lakini nikasema wacha niachie MK254 ama Kafrican awaumbue watani maana mimi ningejaza mitusi hadi post ipoteze maana yake. Hivi Geza Ulole yu wapi?
Nimekuambia umtafute mtu akusomee hayo makala ya CNN maana yameandikwa kwa Kingereza usichokijua au kukielewa, usaidiwe kuelewa hiyo $13b iliyotajwa hapo inahusu nini na ninayotaja $3.8b inahusu nini. Kwa jinsi mlivyo vila.za na ung'ang'anizi usiokua na tija bila aibu, hutaki kushughulika uelewe data, unaendelea kuanika upumbavu kwa jinsi ulivyokaririshwa.
Ongezea na akili zako jameni, yaani nyie ni aibu tupu, huwa mnadharilisha nchi yenu sana. Ni bora huwa mnaandika kwa Kiswahili maana ingelikua kwa Kingereza ingekua aibu kubwa, hivyo inabidi aibu yenu inabaki humu humu Kenya na Tanzania.
Wote sasa hivi wamejificha na vikokotozi/calculators maana aibu imewafunika. Wanatafuta na ku-google ikawaje yao igahrimu $7b ilhali yetu $3.8b ukizingatia na manunuzi ya mabehewa na locomotives na ujenzi wa vituo na mambo mengi yakiwemo madaraja ya kupitia juu kwa juu. Wamekimbia wote na kuachia jamaa fulani anaitwa redeemer ang'ang'anie kuanika ukilaza wa kibongo bongo.