Nimekuambia umtafute mtu akusomee hayo makala ya CNN maana yameandikwa kwa Kingereza usichokijua au kukielewa, usaidiwe kuelewa hiyo $13b iliyotajwa hapo inahusu nini na ninayotaja $3.8b inahusu nini. Kwa jinsi mlivyo vila.za na ung'ang'anizi usiokua na tija bila aibu, hutaki kushughulika uelewe data, unaendelea kuanika upumbavu kwa jinsi ulivyokaririshwa.
Ongezea na akili zako jameni, yaani nyie ni aibu tupu, huwa mnadharilisha nchi yenu sana. Ni bora huwa mnaandika kwa Kiswahili maana ingelikua kwa Kingereza ingekua aibu kubwa, hivyo inabidi aibu yenu inabaki humu humu Kenya na Tanzania.