Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
-
- #4,741
Ichoboy sio wa mchezomchezo ati...😁
Moro - Makutopora si tayari pesa ilipatikana na ujenzi unaendelea kwa speed zote! au kuna kosa ki uandishi?
Ndo journalists wetu hao! Hata Makutupora ka-indicate ya Dodoma badala ya Singida! Ni funds za phase III!Moro - Makutopora si tayari pesa ilipatikana na ujenzi unaendelea kwa speed zote! au kuna kosa ki uandishi?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Reli yenu si ni Design and Build???Reli yetu ilikuwa designed na COWI ya Denmark, siyo Yapi Merkezi.
New standard gauge railway from Dar es Salaam to Morogoro
The modernisation is a valuable contribution to Tanzania's future development to meet an increasing demand for the transportation of passengers and improve the domestic supply network.www.cowi.com
Reli yenu si ni Design and Build???
Anyway, Yepi ndo wanafanya ujenzi, na kulingana na hao, gharama ya Ujenzi ilikua hai include nyaya za usambazaji stima.... Kulingana na hao Tanesco ndo watafanya hayo....
Kwahivyo ni Yepi ndo ilipewa kazi ya Design and Build lakini wakaamua ku sub-contact hio kazi kwa COWI ..... But haijalishi, hio haikuwa the main issue.Design and build ndiyo lakini mkandarasi mkuu anaweza kuwapa baadhi ya kazi kampuni nyingine. Angalia hapo kwenye link utaona kuwa mteja wa COWI ni Yapi Merkezi na siyo GoT.
View attachment 1264441
Wacha upumbavu procurement laws za nchi zisizo corrupt huzingatia hayo. Zinapotangaza tender huwa ni matakwa kwa yeyote anayewania tender a winning bidder kuwa na project designer n constructor. Unashangaa kwa vile Kenya utaratibu huo haupo!Kwahivyo ni Yepi ndo ilipewa kazi ya Design and Build lakini wakaamua ku sub-contact hio kazi kwa COWI ..... But haijalishi, hio haikuwa the main issue.
Now I understand the reason for not meeting the deadline. I can see some bridge/culvert construction sites invaded with water. It's glad to see the whole thing taking shape. The stations, I salute the designer.Catenary work has started, any self denial soul out there? BTW I see cladding work on our stations, they will just look fine it seems at Buguruni gonna be rail over rail bridge crossing Mandela highway !
NB: The World Bank r already sending a delegation!
Ni kweli aisee. Pesa ya phase II yawezekana haijakamilika au serikali yaweza switch resources pale itakapopata external financing. Hiyo phase tayari ina mkopo wa $85m toka AfDB.Wanaweza kuwa Sawa kuja ufadhili ulijitokeza kwa ajili ya phase 2 ambayo ni moro-makutupora, nakumbuka hata magufuli aliwahi kusema kuna wafadhili wameanza kuja ila hatutawasubiri tutaendelea kwa fedha zetu wakitoa tunahamishia phase zinazofuata.
Inaweza kuwa ni pesa ya phase 2 ila kwa sababu imekuja late itahamishiwa phases.
MAONI YANGU.
Ikipatikana pesa ya phase 3 makutupora-tabora nahisi serikali itafund phase 4 tbr-isaka
Then Afdb wanaweza release fund ya isaka mpaka mpakani mwa Rwanda.
Mbona unaweweseka na non-issues??? Who cares! that was not the point! Alafu unajifanya hapa na Acacia iliwaibia $190B na hizo procurement laws zenu!!!!!,Wacha upumbavu procurement laws za nchi zisizo corrupt huzingatia hayo. Zinapotangaza tender huwa ni matakwa kwa yeyote anayewania tender a winning bidder kuwa na project designer n constructor. Unashangaa kwa vile Kenya utaratibu huo haupo!
Asiye pendwa kaja 😂
ccm wameona kuwa walianza na choo, hiyo haikuwa station. hawa watu wanawapiga tigo watz bila huruma!Makonda says at Pugu there will be another bigger station built
We si unauchiziiiccm wameona kuwa walianza na choo, hiyo haikuwa station. hawa watu wanawapiga tigo watz bila huruma!